Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kama imeshikana na hiyo lamination hapo ndio mtihani,Kama imeachia waweza itoa na kuweka mpya
Ufeki au uhalali wa Cheti ni namba yake pamoja na barcode ( msimbo milia)Cheti ni vizuri kukitunza kwenye zile protector za plastic za A4
Ukisha weka lamination,hakuna guarantee kua ukiitoa ile lamination cheti kitabaki na quality ile ile ya maandishi yale yale,unaweza ukaonekana kama vile una cheti fake.
to be on the sefe side, make another lamination ontop of the former one!Naomba kuuliza. Hivi uki re- laminate cheti kilicholaminat-iwa, may be lamination ya mwanzo imechoka, maandishi yataendelea kuonekana vizuri! Au yatapauka? Na je kitakuwa imara au ndo yaleyale??
Will it be seen cleary or blurred??to be on the sefe side, make another lamination ontop of the former one!
one can easily test your hypothesis.... by making double lamination using a rough written paper materialWill it be seen cleary or blurred??
Ni kweli lakini unaadhania kama cheti kimefutika futika baadhi ya maneno, si ni mtihani? Chenyewe original hakionekani vizuri hiyo copy yake itakuwaje?na kwenye maombi ya kazi kwanza wanataka copy, si wanaweza fikiria kama una wafanyia utani??Ufeki au uhalali wa Cheti ni namba yake pamoja na barcode ( msimbo milia)
😂😂😂😂😂Ufeki au uhalali wa Cheti ni namba yake pamoja na barcode ( msimbo milia)
Si hadi wawe na huruma ya kukihitaji hicho cheti OG, ndio wakuombe hizo namba za cheti na hiyo barcode?kama zipo lakini, au wakutume uende sijui baraza la mtihani au chuoni!!hapo lazima utakuwa una sifa za kipekee sana kwenye nafasi hizo labda kidogo kama ulikuwa unafanya kazi NASA, na hizo nafasi ni za ATCL!!hapo watahangaika kukusubilia, lakini hizi za SANDA KALAWE.😂😂😂😂😂
Ndio maana nika sema: "Unaweza ukaonekana kama vile una cheti fake" sijasema ni cheti fake,ni sawa na mtu kuitilia mashaka noti iliyochakaa au noti ambayo maandishi yake na namba zake hazipo clear.Ufeki au uhalali wa Cheti ni namba yake pamoja na barcode ( msimbo milia)
Museum kijana!Mtu ushazeeka ushapata kazi bado unahangaika na cheti chako mwenyewe!
Duuuhh
Agiza Stone TangawiziUfeki au uhalali wa Cheti ni namba yake pamoja na barcode ( msimbo milia)
PoleLamination hivi inachokaga?