Inawezekana kuishitaki Serikali kwenye hili?

Inawezekana kuishitaki Serikali kwenye hili?

Kaishebo
Kwanza kijana wako hakustahili kuipata hiyo nafasi kwakua nafasi hiyo ilikua ni kwa wanafunzi wa form four waliofaulu masomo ya sayansi wenye div 1&2 wa kwako atakua aliingia kwa njia za panya.Kama unaona na unaweza kukuelezea Mahakama madhara uliyopata kutokana na matumizi ya neno kilaza katika hotuba ya Rais na una uwezo wa kuthibitisha hilo basi nenda katafute haki yako kisheria.Chuoni mtu mwenye uelewa wa chini huitwa kilaza na mwenye uelewa wa juu huitwa kipanga.Div 4.32 anaweza akawa kilaza kama utamlinganisha na div 1/2
NIMESIKITIKA KWA UVAMIZI WAKO WA MADA............Ungejishughulisha kuniuliza kijana wangu alipata daraja gani. hiyo div 4.32 umeipata wapi?.
kwa kukusaidia, UDOM hakuna mtoto aliyedailiwa akiwa na Div. 4 ya aina yoyote.
Baada ya maelezo haya, naomba tena ushauri
 
kwakua kasema masikini ndio awavumilie hata kama hawana sifa ?acheni siasa upate dv 4 ukasime degree ukafundishe physics au hesabu au chemistry kumbuka ukiwa na degree hata a.level unafundisha .masomo ya sayansi sio masihara wazee acheni warudi tu kwa manufaa ya elimu ya watoto wetu miaka ijayo.
HAUWEZI KUTAFUTA TAARIFA SAHIHI BILA KUSUBIRI KUMEZESHWA?............UDOM KUNA MTOTO ALIYEDAILIWA AKIWA NA DIV.4?
 
NIMESIKITIKA KWA UVAMIZI WAKO WA MADA............Ungejishughulisha kuniuliza kijana wangu alipata daraja gani. hiyo div 4.32 umeipata wapi?.
kwa kukusaidia, UDOM hakuna mtoto aliyedailiwa akiwa na Div. 4 ya aina yoyote.
Baada ya maelezo haya, naomba tena ushauri
JPM amesema wale wote wenye sifa kwa maana ya div 1&2 ya ufaulu wa masomo ya sayansi watafanyiwa utaratibu waendelee na masomo kwahiyo km kijana wako ni miongoni mwao usihofu.
 
NIMESIKITIKA KWA UVAMIZI WAKO WA MADA............Ungejishughulisha kuniuliza kijana wangu alipata daraja gani. hiyo div 4.32 umeipata wapi?.
kwa kukusaidia, UDOM hakuna mtoto aliyedailiwa akiwa na Div. 4 ya aina yoyote.
Baada ya maelezo haya, naomba tena ushauri
Ina maana wewe Ni mzazi wa watoto wote?
 
Naangalia Kipimajoto ITV, nimepata jibu kutoka kwa nguli wa masuala ya Elimu, Prof. Kitila Mkumbo. Kasema kama Serikali itaendeleza bla blah, wanachuo waliofukuzwa wanaweza kuishtaki Mahakamani.
Ombi langu kwenu la kupata ushauri wa kiweledi limegonga mwamba. wengi wenu mmetawaliwa na mihemko ya kisiasa.
NIMEFUNGA MJADALA
 
Back
Top Bottom