Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabishana na makamu!Omba msaada wa kuanzisha uzi tumjadili huyo kilaza wako lkn siyo hapa
NIMESIKITIKA KWA UVAMIZI WAKO WA MADA............Ungejishughulisha kuniuliza kijana wangu alipata daraja gani. hiyo div 4.32 umeipata wapi?.Kaishebo
Kwanza kijana wako hakustahili kuipata hiyo nafasi kwakua nafasi hiyo ilikua ni kwa wanafunzi wa form four waliofaulu masomo ya sayansi wenye div 1&2 wa kwako atakua aliingia kwa njia za panya.Kama unaona na unaweza kukuelezea Mahakama madhara uliyopata kutokana na matumizi ya neno kilaza katika hotuba ya Rais na una uwezo wa kuthibitisha hilo basi nenda katafute haki yako kisheria.Chuoni mtu mwenye uelewa wa chini huitwa kilaza na mwenye uelewa wa juu huitwa kipanga.Div 4.32 anaweza akawa kilaza kama utamlinganisha na div 1/2
HAUWEZI KUTAFUTA TAARIFA SAHIHI BILA KUSUBIRI KUMEZESHWA?............UDOM KUNA MTOTO ALIYEDAILIWA AKIWA NA DIV.4?kwakua kasema masikini ndio awavumilie hata kama hawana sifa ?acheni siasa upate dv 4 ukasime degree ukafundishe physics au hesabu au chemistry kumbuka ukiwa na degree hata a.level unafundisha .masomo ya sayansi sio masihara wazee acheni warudi tu kwa manufaa ya elimu ya watoto wetu miaka ijayo.
UMENISIKITISHA............Hadhi ya JF inaanza kuvamiwa na wabakwaji.4 ya 32
kwanini wasiwepo ?we unadhani rais amekurupuka kuongea hivyo?HAUWEZI KUTAFUTA TAARIFA SAHIHI BILA KUSUBIRI KUMEZESHWA?............UDOM KUNA MTOTO ALIYEDAILIWA AKIWA NA DIV.4?
sijui kama kakurupuka, labda kawahi kusema kabla ya kujiridhishakwanini wasiwepo ?we unadhani rais amekurupuka kuongea hivyo?
keshafanya ndio maana kafikia uamuzi huo angalie speech yakesijui kama kakurupuka, labda kawahi kusema kabla ya kujiridhisha
JPM amesema wale wote wenye sifa kwa maana ya div 1&2 ya ufaulu wa masomo ya sayansi watafanyiwa utaratibu waendelee na masomo kwahiyo km kijana wako ni miongoni mwao usihofu.NIMESIKITIKA KWA UVAMIZI WAKO WA MADA............Ungejishughulisha kuniuliza kijana wangu alipata daraja gani. hiyo div 4.32 umeipata wapi?.
kwa kukusaidia, UDOM hakuna mtoto aliyedailiwa akiwa na Div. 4 ya aina yoyote.
Baada ya maelezo haya, naomba tena ushauri
UMENISIKITISHA............Hadhi ya JF inaanza kuvamiwa na wabakwaji.
Ina maana wewe Ni mzazi wa watoto wote?NIMESIKITIKA KWA UVAMIZI WAKO WA MADA............Ungejishughulisha kuniuliza kijana wangu alipata daraja gani. hiyo div 4.32 umeipata wapi?.
kwa kukusaidia, UDOM hakuna mtoto aliyedailiwa akiwa na Div. 4 ya aina yoyote.
Baada ya maelezo haya, naomba tena ushauri