Inawezekana kuishitaki Serikali kwenye hili?

NIMESIKITIKA KWA UVAMIZI WAKO WA MADA............Ungejishughulisha kuniuliza kijana wangu alipata daraja gani. hiyo div 4.32 umeipata wapi?.
kwa kukusaidia, UDOM hakuna mtoto aliyedailiwa akiwa na Div. 4 ya aina yoyote.
Baada ya maelezo haya, naomba tena ushauri
 
HAUWEZI KUTAFUTA TAARIFA SAHIHI BILA KUSUBIRI KUMEZESHWA?............UDOM KUNA MTOTO ALIYEDAILIWA AKIWA NA DIV.4?
 
JPM amesema wale wote wenye sifa kwa maana ya div 1&2 ya ufaulu wa masomo ya sayansi watafanyiwa utaratibu waendelee na masomo kwahiyo km kijana wako ni miongoni mwao usihofu.
 
Ina maana wewe Ni mzazi wa watoto wote?
 
Naangalia Kipimajoto ITV, nimepata jibu kutoka kwa nguli wa masuala ya Elimu, Prof. Kitila Mkumbo. Kasema kama Serikali itaendeleza bla blah, wanachuo waliofukuzwa wanaweza kuishtaki Mahakamani.
Ombi langu kwenu la kupata ushauri wa kiweledi limegonga mwamba. wengi wenu mmetawaliwa na mihemko ya kisiasa.
NIMEFUNGA MJADALA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…