Inawezekana kuja kundi la watu wasioamini ubaguzi wa rangi(apartheid) uliwahi kutokea Africa Kusini?

Inawezekana kuja kundi la watu wasioamini ubaguzi wa rangi(apartheid) uliwahi kutokea Africa Kusini?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Katika kila tukio kubwa lilowahi kutokea Duniani kuna watu wengu wanaoamini conspiracies mbalimbali kuhusu hilo tukio kinyume na historia inayoaminiwa na wengi.

Mfano kuna watu wanaamini mauaji ya kimbari dhidi ya wayahudi (holocaust)hayajawahi kutokea, CIA ilimuua Kennedy, dunia ni tambarare n.k

Miaka mingi baadaye Inawezekana likaja kundi la watu wasioamini utawala wa ubaguzi wa rangi(apartheid) iliwahi tokea Africa Kusini?
Screenshot_20250210-213958_X.jpg
 
Ni sawa tu na wale wasiotaka kuamini kuwa Magufuli alikuwa dikteta au Kagame ni dikteta wa Rwanda inayeinyonya DRC kwa mgongo wa M23 chini ya kivuli cha kuwalinda Banyamulenge.
 
Ni sawa tu na wale wasiotaka kuamini kuwa Magufuli alikuwa dikteta au Kagame ni dikteta wa Rwanda inayeinyonya DRC kwa mgongo wa M23 chini ya kivuli cha kuwalinda Banyamulenge.
Kuna watu wanaokataa Kagame ni dikteta mkuu?
 
Usishangae Waislam hawaiamini Quran wala Allah kuwa Israel ni ya watu wa Nabii Musa Ban Israel wanaipinga na Kusema Land of Israel ni ya Arabs wanaojiita Arabs Palestinian. Uislam ni mbururu kabisa dini ya wanafiki
 
Usishangae Waislam hawaiamini Quran wala Allah kuwa Israel ni ya watu wa Nabii Musa Ban Israel wanaipinga na Kusema Land of Israel ni ya Arabs wanaojiita Arabs Palestinian. Uislam ni mbururu kabisa dini ya wanafiki
Hivi,mtu akipigania kitu ambacho siyo chake hapaswi kuitwa mwizi bin jambazi?Na haifai apigwe hadi akate roho?
 
Back
Top Bottom