Inawezekana kumpenda mtu bila kumtamani

Inawezekana kumpenda mtu bila kumtamani

Nomadix

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2025
Posts
2,411
Reaction score
6,646
Habarini wanajamvi.

Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X
...

Kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla hujamuona hata kwa picha, hii huwa ni tamaa au mapenzi?

Me naona kama mapenzi ya kweli yameambatana na tamaa fulani hivi, ndio maana tunasema natamani kuwa na yule mtu.

Swali langu ni unaweza kumpenda mtu uliekutana nae mtandaoni bila kumtamani?

NB: Hayana muongozo, tunaambizana tu.
 
Yeah kiongozi.
Kuna huyo manzi nilimpenda bila kumtamani. Hii inakuwa out of beauty, sexual desire. Ni ile unafeel her/his energy and presence in your life.
Na nilikuta tunashare some common things kama: interest, hobbies and dreams.
Japo ndo hivyo, yeye bado konakona nyingi ukizingatia yupo kwenye age ya kulingia uzuri mi mwenyewe ndo hivyo still street hustler tunashindwa kusettle. But hii ipo, japo madem wote walibaki ni tamaa tu za ngono ndo zinanifanya niwapende.
 
Yeah kiongozi.
Kuna huyo manzi nilimpenda bila kumtamani. Hii inakuwa out of beauty, sexual desire. Ni ile unafeel her/his energy and presence in your life.
Na nilikuta tunashare some common things kama: interest, hobbies and dreams.
Japo ndo hivyo, yeye bado konakona nyingi ukizingatia yupo kwenye age ya kulingia uzuri mi mwenyewe ndo hivyo still street hustler tunashindwa kusettle. But hii ipo, japo madem wote walibaki ni tamaa tu za ngono ndo zinanifanya niwapende.
Hii nzuri [emoji736]
 
Back
Top Bottom