Inawezekana kumpenda mtu bila kumtamani

Inawezekana kumpenda mtu bila kumtamani

Habarini wanajamvi.

Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X
...
-kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla hujamuona hata kwa picha, hii huwa ni tamaa au mapenzi?
-Me naona kama mapenzi ya kweli yameambatana na tamaa fulani hivi, ndio maana tunasema natamani kuwa na yule mtu.
-Swali langu ni unaweza kumpenda mtu bila kumtamani?
NB: Hayana muongozo, tunaambizana tu.
We demu ukiona mtu anasema anakuelewa wakati hajawah hata kukuona, ujue hizo ni ndoano tu, ukinasa umeliwa😋
 
Habarini wanajamvi.

Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X
...
-kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla hujamuona hata kwa picha, hii huwa ni tamaa au mapenzi?
-Me naona kama mapenzi ya kweli yameambatana na tamaa fulani hivi, ndio maana tunasema natamani kuwa na yule mtu.
-Swali langu ni unaweza kumpenda mtu bila kumtamani?
NB: Hayana muongozo, tunaambizana tu.

kwani wewe mama yako huwa humpendi? dadaako? binti yako?
 
Habarini wanajamvi.

Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X
...
-kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla hujamuona hata kwa picha, hii huwa ni tamaa au mapenzi?
-Me naona kama mapenzi ya kweli yameambatana na tamaa fulani hivi, ndio maana tunasema natamani kuwa na yule mtu.
-Swali langu ni unaweza kumpenda mtu bila kumtamani?
NB: Hayana muongozo, tunaambizana tu.
Inawezekana kumpenda mtu bila kumtamani kama nafsi yako. Lakini ukipenda kitu alichonacho huko ni kutamani na nidhambi.Ukimpenda mtu kwa sababu ya kitu alichonacho;swali je kesho hicho alichonacho kikipotea utampenda?Lakini ukimpenda mtu kama nafsi yako hata akiwa masikini upendo upo pale pale
 
Inawezekana kumpenda mtu bila kumtamani kama nafsi yako. Lakini ukipenda kitu alichonacho huko ni kutamani na nidhambi.Ukimpenda mtu kwa sababu ya kitu alichonacho;swali je kesho hicho alichonacho kikipotea utampenda?Lakini ukimpenda mtu kama nafsi yako hata akiwa masikini upendo upo pale pale
Sahihi mkuu umenena vyema kumpenda mtu kama nafsi yako
 
Habarini wanajamvi.

Inatokea unatumia mtandao wa kijamii kama JamiiForums,Instagram,WhatsApp ama X
...
-kwenye moja na mbili mtu anasema kakuelewa au wewe unamwambia umemuelewa hata kabla hujamuona hata kwa picha, hii huwa ni tamaa au mapenzi?
-Me naona kama mapenzi ya kweli yameambatana na tamaa fulani hivi, ndio maana tunasema natamani kuwa na yule mtu.
-Swali langu ni unaweza kumpenda mtu bila kumtamani?
NB: Hayana muongozo, tunaambizana tu.
Mama yako au baba yako unawapenda? Je, unawatamani?
 
Back
Top Bottom