si umtaje ili waungwana wakuambie kama ni KeKuna dem humu JF huwa namuelewa Sana, sema huwa sina uhakika kama ni KE kweli 😒😒😒😒??
Ninao watano nikimtaja huyu nitakosa zawadi ya Valentine kwa yule.We wako nani [emoji23] jiamini mtaje kama unamjua mtaje ajipe kichwa ajisifiee...
Alafu inaonekana wauza zawadi za Valentine'day ni wengi kuliko wapendanao 😃Ninao watano nikimtaja huyu nitakosa zawadi ya Valentine kwa yule.
Hii nzuri [emoji736]Yeah kiongozi.
Kuna huyo manzi nilimpenda bila kumtamani. Hii inakuwa out of beauty, sexual desire. Ni ile unafeel her/his energy and presence in your life.
Na nilikuta tunashare some common things kama: interest, hobbies and dreams.
Japo ndo hivyo, yeye bado konakona nyingi ukizingatia yupo kwenye age ya kulingia uzuri mi mwenyewe ndo hivyo still street hustler tunashindwa kusettle. But hii ipo, japo madem wote walibaki ni tamaa tu za ngono ndo zinanifanya niwapende.
Mie sijakuelewa tatizo,.[emoji23] nimekuelewa wewe njoo pm