May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Je, ni wakati gani nitahitaji kumuona Dokta kama nitaona maumivu makali yamepungua kutoka siku ya kwanza ya kupata ajali ya enka?.
Vipi kama nitaamua kufuata tu taratibu za kujiuguza nyumbani mpaka Mguu/enka itengemae?
Ni ipi hatari inayoweza kumpata Mtu asipoonwa na kushauriwa na Daktari juu ya huo Mguu wake?
Vipi kama nitaamua kufuata tu taratibu za kujiuguza nyumbani mpaka Mguu/enka itengemae?
Ni ipi hatari inayoweza kumpata Mtu asipoonwa na kushauriwa na Daktari juu ya huo Mguu wake?