Inawezekana kurudiana na mpenzi wa zamani na mkawa sawa kwenye mapenzi yenu?

Inawezekana kurudiana na mpenzi wa zamani na mkawa sawa kwenye mapenzi yenu?

Wakuu bahari ya mihangaiko ya hapa na pale..na pirika za maisha..

Niende moja kwa moja kwenye swali..hivi inawezekana kurudiana na mpenzi wa zamani na mkawa kama kawaida..hata kama mliachana kwa ubaya?

Kiiufupi miaka sita hivi imepita lakini saiv mawalisiano yamerudi kiasi fulani..pamoja na kila mtu kuwa na mahusiano mengine..lakini kila mtu kamkumbuka mwenzie!!

Kana kwamba kila mtu kwenye mahusiano yake mapya kuna mapungufu..hasa binti anadai baada ya kufanyiwa ubaya na alipenda sana..akaamua kupick tu mwanaume katika watu waliokua wanamtongoza kwa hasira..!!

Nawasilisha..karibuni kwa mawazo!!!
Ukiwa na mkwanja wote watarudi ila ukiwa kapuku utaogea madawa yote
 
Mapenzi yanatesa watu😃😃
Kisasi kinaandaliwa
Ukimkubali safari hii utakuwa kwa soil
Ngoja nitafute namba ya bilinas na Nandy tuwapigie tuwaulize,maana jamaa kila mwaka anamvisha pete ya uchumba halafu inapotea,maana walishawahi kuwa ma ex
Na ndivyo tulikubaliana kikao kilichopita [emoji1787]

Sent from my Moto C using JamiiForums mobile app
Hapo ni sawa na kuangalia movie ya Titanic kwa Mara ya pili na uamini kwamba meli haitozama...... ITAZAMA
😄😃😀Mahangaiko Yote Ni KULOWEKA Tu
Tanzania Nchi Hii Ipasuka
 
Back
Top Bottom