Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,468
- 2,349
Safi....Kawaida yang huwa siachani na mtu,akienda aktaka kurudi natumia kama kawaida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safi....Kawaida yang huwa siachani na mtu,akienda aktaka kurudi natumia kama kawaida
"Usimrudie asiyefaa kwa sababu ya upweke" mwisho wa kunukuuHatari sana
Ukiwa na mkwanja wote watarudi ila ukiwa kapuku utaogea madawa yoteWakuu bahari ya mihangaiko ya hapa na pale..na pirika za maisha..
Niende moja kwa moja kwenye swali..hivi inawezekana kurudiana na mpenzi wa zamani na mkawa kama kawaida..hata kama mliachana kwa ubaya?
Kiiufupi miaka sita hivi imepita lakini saiv mawalisiano yamerudi kiasi fulani..pamoja na kila mtu kuwa na mahusiano mengine..lakini kila mtu kamkumbuka mwenzie!!
Kana kwamba kila mtu kwenye mahusiano yake mapya kuna mapungufu..hasa binti anadai baada ya kufanyiwa ubaya na alipenda sana..akaamua kupick tu mwanaume katika watu waliokua wanamtongoza kwa hasira..!!
Nawasilisha..karibuni kwa mawazo!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah we dea lol.Me ndio maana nataka niwe sister stress za mapenzi sitaki[emoji4]
Mmm! halafu weye nae!!!.... hivi unajua inavo nogagaa???Huoni kinyaa kula matapishi? Heri nile makombo kuliko matapishi
Makombo sawa ila matapishi sidhani km yananogaMmm! halafu weye nae!!!.... hivi unajua inavo nogagaa???
Kwanini unasema kama mume ni sawa ?Kama mme sawa ila mpenzi hapana maana akuna cha ziada hapo tabia ya mtu huwa aibadiriki
Hawa watu ndio wanakumbana na kisanga kama cha Ukraine , taifa litatoboa kweli ?Mapenzi yanatesa watu[emoji2][emoji2]
Mapenzi yanatesa watu😃😃
Kisasi kinaandaliwa
Ukimkubali safari hii utakuwa kwa soil
Ngoja nitafute namba ya bilinas na Nandy tuwapigie tuwaulize,maana jamaa kila mwaka anamvisha pete ya uchumba halafu inapotea,maana walishawahi kuwa ma ex
Na ndivyo tulikubaliana kikao kilichopita [emoji1787]
Sent from my Moto C using JamiiForums mobile app
😄😃😀Mahangaiko Yote Ni KULOWEKA TuHapo ni sawa na kuangalia movie ya Titanic kwa Mara ya pili na uamini kwamba meli haitozama...... ITAZAMA
Mno mzeeMapenzi yanatesa watu[emoji2][emoji2]
Nakuelewa mzeeMzee unataka bahati ya namna gani tena....huyo ndio tayari anakuwa sexmate wako yaani nikupeana asali tuu... Ila usidanganyike kuwa anafaa kiwa mke
Lakini hainaga makombo ileHuoni kinyaa kula matapishi? Heri nile makombo kuliko matapishi
AiseeeHapo ni sawa na kuangalia movie ya Titanic kwa Mara ya pili na uamini kwamba meli haitozama...... ITAZAMA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila kushirikisha mizimu hamtoboi!
Ahsante mkuuWatu wanateseka ja mapenzi hadi huruma, poleeee sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NotedKama hakupi stress mrudie tu..maisha yenyewe yako wapi