Desire mobutu seseseko
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 987
- 1,426
- Thread starter
- #41
Sister kwan una bk???Me ndio maana nataka niwe sister stress za mapenzi sitaki[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sister kwan una bk???Me ndio maana nataka niwe sister stress za mapenzi sitaki[emoji4]
EeSister kwan una bk???
SawaWewe fanya unavyoona sawa
Basi kawe sister..manake huku daah tunateseka sana ..shida hisia zinatesaa mno..nna hisia na yule mwanamke japo..ni miaka saba inaenda..
Kuna jamaa yangu ananiambiaga ukiachana na demu usiachane nae kwa 'kmmae msnge' achana nae kwa amani.Kawaida yang huwa siachani na mtu,akienda aktaka kurudi natumia kama kawaida
Hata Kama jamaniLakini hainaga makombo ile
Pole me ngoja nikamtumikie munguBasi kawe sister..manake huku daah tunateseka sana ..shida hisia zinatesaa mno..nna hisia na yule mwanamke japo..ni miaka saba inaenda..
Mbona za chini chini zunasema Nandy ndie hubeba gharama ya pete na shughuli, ila Bilnas yupo yupo tu kuitikia lakini.........Ngoja nitafute namba ya bilinas na Nandy tuwapigie tuwaulize,maana jamaa kila mwaka anamvisha pete ya uchumba halafu inapotea,maana walishawahi kuwa ma ex
Best comment"Usimrudie asiyefaa kwa sababu ya upweke" mwisho wa kunukuu
Ukumbuke me ndo nilitoboa bikra miaka hiyo..sasa nyani kakumbuka pori anataka kurudi hana furaha kule??Hata Kama jamani
Nimekusoma mkuu.. kwanza heshima yako mzee wa uzi wetu pendwa.. shukran kutia wino hapa..Ubaya wakirudigi wanatala Uwape upendo kama ule wa mwanzo... Wakati mimi hapo nataka tukulane kisela tu upendo Haupo tena yani ila kama kukulana fresh ila kamwe Usirudiane na Ex wako ukitegemea kutakua na mabadiliko yani HAMTADUMU HATA MWEZI.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu masihara yasidumu kiama kikifika itakua nomaNimekusoma mkuu.. kwanza heshima yako mzee wa uzi wetu pendwa.. shukran kutia wino hapa..
Masihara ya dumu milele[emoji23][emoji23][emoji23]
Okey si kila mwanamke anapapatika na mbikiri etiUkumbuke me ndo nilitoboa bikra miaka hiyo..sasa nyani kakumbuka pori anataka kurudi hana furaha kule??
Ujumbe mzito mno mkuu..nimekuelewa saanaHapo fanya mahesabu miaka 6 aliyokaa bila wewe,, zidisha kwa amesex mara 4 kwa week 1 ,
Miaka 6 amesex mara 2016 + na wapenzi tofauti bila kinga = UTI sugu+gonorea+Pangusa+HIV.
watu wengi hupata maradhi sababu ya kurudisha mapenzi ya zamani.
Huwezikujuwa kwann karudi kwako.
Ni kweli kurudiana kupo Ila huo ni muda mrefu Sana umepita.
Tafakari.
Chukuwa hatua..
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Acha woga mkuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu masihara yasidumu kiama kikifika itakua noma