KWELI Inawezekana kuwa kwenye siku za hatari ukiwa kwenye siku za hedhi

Taarifa hii imethibitika kuwa ya kweli baada ya kufanya tathmini ya kina
Nina swali ndugu zangu hivi inawezekana siku za hatari zikaangukia katika mzunguko kuingiliana na siku za hedhi?

Mfano, siku za hedhi ni tano ile siku ya 4 au 5 ikiwa siku ya hatari?🤔
Jibu ni HAPANA
Ukiwa kwenye hedhi huwezi kupata mimba LAKINI pia, hatushauri mtu afanye mapenzi kipindi hicho
 
Inawekan vzr tu, maana pale yai linakuwa bado zima Ila ukuta yaan uterus ndo inakuwa Imekuwa perissed (muda wake Umeisha wa kusbri kulea kiumbe) ko ndo unkuwa unatoa zle blood yai linkuwa bado ivo Mwnamke akiingia P sku ya kwanz au ya pl had ya tatu Kuna uwezkn mkubwa kabsaaa wa kupata Mimba na P inakoma kbsaa Mungu n Fundi jamni. Hyo mm imetokea kwa Girl mmoja hvi(N mfano Hali kabsa kwangu).
 
Hyo mbna inatokea in 98 % ukisex. Ukiwa P Kuna uwwzkan mkubwa mnoo wa kupta unauzi mkubwa Sana na P inakoma, maana Ile inayokuwa inatoa damu n uterus syo yai yai linkuwa bado zma yai linatka mwshon kabsa. Ko uterus ndo inakuwa inapukutika maana haion mazngra ya kiumbe kuja kuish pale, Ila ukisex mbegu zkiwa na nguvu za kuogelea kwnye Ile blood kwnye uterus Hesabu Mimba, mm n shahidi kabsa
 

Kwahiyo ulilala naye wakati yuko mp?[emoji848][emoji2961]
 
Siyo kweli! Siyo kweli! Siyo kweli!

Ninachofahamu mimi. Kwanza nakubaliana na maana ya hedhi kwamba ni tendo la utoaji wa damu na tishu za mwili kutoka kwenye mji wa uzazi kupitia uke..

Kama soye tunakubaliana kuwa hii ndiyo maana ya hedhi basi mimba haiwezi kutokea. Kwasabb mazingira ya mji wa uzazi yameharibiwa.

Tishu zinazopaswa kulishikilia yai lililorutubishwa zimepasuliwa na kuchanwa chanwa na kutolewa kupitia uke.

Pia mishipa ya na seli za kulisha yai lillilorutubishwa zimeharibiwa na kutolewa kama damu kupitia uke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…