Inawezekana makamanda wa Chadema waliohamia CCM ni magarasa na turufu bado zimebaki Ufipa maana bado wanaonyesha Ufundi!

Inawezekana makamanda wa Chadema waliohamia CCM ni magarasa na turufu bado zimebaki Ufipa maana bado wanaonyesha Ufundi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Nimesikiliza kauli moja tu ya mtumishi wa Mungu Mchungaji Msigwa akikiri kuwa ana undugu na Rais Magufuli.
Na zaidi Mchungaji Msigwa akasema kama wanafamilia "wao" wana namna wanavyoshughulikia mambo yao.

Nilichojiuliza ni kwanini Mchungaji Msigwa hajawahi " Kujimwambafy" kwamba yeye ana uhusiano na Rais Magufuli?
Pale Chimala na Matamba wanajua kuwa Mchungaji Msigwa ana uhusiano na Rais Magufuli lakini jimboni Iringa wengi wamejua juzi.

Siyasemi haya kwa sababu ya Msigwa kulipiwa faini kwani hata mstaafu Kikwete aliwahi kumlipia " mahali" mwanaharakati huru na hakuna aliyehoji.

Ninachotaka kusema hapa ni ushupavu wa Dr Magufuli na Mchungaji Msigwa walivyouhifadhi uhusiano wao bila walio wengi kufahamu.

Hata juzi kama Mnikulu ndiye angeenda Segerea kumtoa Mchungaji bila shaka Msigwa angepanda gari ya serikali kurudi nyumbani tatizo ni zile sare za kijani ndio zilizoiletea shida familia hii.

Cha muhimu tumepata somo kuwa bado kuna " turufu" zimebaki pale Ufipa na huenda hawa waliohamia CCM ni magarasa matupu.

Maendeleo hayana vyama!
 
Chadema umekosa viongozi ila ina mamilioni ya watu walio nyuma yao.

Sio kwamba wanaipenda Chadema ila wanaichukia CCM.

Viongozi wa Chadema wangekuwa na uthubutu wa kukinukisha, watapata support kubwa sana toka kwa watu wasiowategemea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bwashee watanzania wamekuzwa katika ustaarabu mambo ya kukinukisha kama unayapenda nenda kaishi Somalia!
 
Chadema umekosa viongozi ila ina mamilioni ya watu walio nyuma yao.

Sio kwamba wanaipenda Chadema ila wanaichukia CCM.

Viongozi wa Chadema wangekuwa na uthubutu wa kukinukisha, watapata support kubwa sana toka kwa watu wasiowategemea.

Sent using Jamii Forums mobile app

Tulikofikia tunahitaji watu wakukinukisha
 
CCM imenunua watu wenye njaa, hawana chochote kichwani. Mwita Waitara ana nini yule mlevi? Mkamuonga na unaibu waziri kwa Lengo la kushawishi wengine wafike bei. Je kuna la maana CCM kimeongeza, zaidi ujinga na kuendelea kutumia dola kuumiza watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kila mpinzani anayehamia ccm kanunuliwa?
 
Chadema umekosa viongozi ila ina mamilioni ya watu walio nyuma yao.

Sio kwamba wanaipenda Chadema ila wanaichukia CCM.

Viongozi wa Chadema wangekuwa na uthubutu wa kukinukisha, watapata support kubwa sana toka kwa watu wasiowategemea.

Sent using Jamii Forums mobile app




Kwa mane no haya ni lazima tuichoke CCM
 
Chadema umekosa viongozi ila ina mamilioni ya watu walio nyuma yao.

Sio kwamba wanaipenda Chadema ila wanaichukia CCM.

Viongozi wa Chadema wangekuwa na uthubutu wa kukinukisha, watapata support kubwa sana toka kwa watu wasiowategemea.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tulipata uhuru bila kumwaga damu, CCM itaondoka bila kumwaga damu ila wachache wataumia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We Yohana kuna wakati unakuwaga na pointi hadi nakukubali. Ila sasa ukiingiaga tu kwenye lile jengo la Lumumba akili zako zote anachukua Polepole, unaanza ku post utumbo tu.
Hata hivyo umeongea ukweli mchungu, hongera sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaaa....... Utumbo ni sehemu ya siasa bwashee!

Wengine bila kupewa utumbo hawaelewagi!
 
Back
Top Bottom