Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,557
- 7,160
CCM ni chama kikubwa bwashee...... Ni nyumbani kwa wasema ukweli!
Kina ukubwa wa aina gani au kina uzoto wa kilo ngapi !??.Wacha kisumbua Watu hapa ,CCM mmesha poteza Sifa kitambo sana ya kuwa Chama cha Siasa.Mnaua Raia wenu(R.I.P. Akwilina) mna kanyaga Haki za wengine kupitia Taasisi zetu na juzi kati hapa baada ya kulewa Madaraka Katibu wenu akaweka wazi wazi namna mnavyo faidika na Dola yenu.