Inawezekana makamanda wa Chadema waliohamia CCM ni magarasa na turufu bado zimebaki Ufipa maana bado wanaonyesha Ufundi!

Inawezekana makamanda wa Chadema waliohamia CCM ni magarasa na turufu bado zimebaki Ufipa maana bado wanaonyesha Ufundi!

CCM ni chama kikubwa bwashee...... Ni nyumbani kwa wasema ukweli!

Kina ukubwa wa aina gani au kina uzoto wa kilo ngapi !??.Wacha kisumbua Watu hapa ,CCM mmesha poteza Sifa kitambo sana ya kuwa Chama cha Siasa.Mnaua Raia wenu(R.I.P. Akwilina) mna kanyaga Haki za wengine kupitia Taasisi zetu na juzi kati hapa baada ya kulewa Madaraka Katibu wenu akaweka wazi wazi namna mnavyo faidika na Dola yenu.
 
Hivi kila mpinzani anayehamia ccm kanunuliwa?
Sasa kwa akili yako tu ya kawaida, mtu anaanzaje kuacha udiwani/ ubunge wake ambao aliupata kwa jasho na damu, aache mshahara na stahili zake zote za kustaafu?

Vyote hivyo apoteze halafu eti akaunge juhudi? Juhudi zipi?
Ni mjinga tu anaeweza kuaminishwa ujinga unao uamini wewe.

Hata mitume walimuuliza Yesu "Bwana, sisi tumeacha vyote na kukufuata ww, tutapata nini basi?
Jiongeze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesikiliza kauli moja tu ya mtumishi wa Mungu Mchungaji Msigwa akikiri kuwa ana undugu na Rais Magufuli.
Na zaidi Mchungaji Msigwa akasema kama wanafamilia "wao" wana namna wanavyoshughulikia mambo yao.

Nilichojiuliza ni kwanini Mchungaji Msigwa hajawahi " Kujimwambafy" kwamba yeye ana uhusiano na Rais Magufuli?
Pale Chimala na Matamba wanajua kuwa Mchungaji Msigwa ana uhusiano na Rais Magufuli lakini jimboni Iringa wengi wamejua juzi.

Siyasemi haya kwa sababu ya Msigwa kulipiwa faini kwani hata mstaafu Kikwete aliwahi kumlipia " mahali" mwanaharakati huru na hakuna aliyehoji.

Ninachotaka kusema hapa ni ushupavu wa Dr Magufuli na Mchungaji Msigwa walivyouhifadhi uhusiano wao bila walio wengi kufahamu.

Hata juzi kama Mnikulu ndiye angeenda Segerea kumtoa Mchungaji bila shaka Msigwa angepanda gari ya serikali kurudi nyumbani tatizo ni zile sare za kijani ndio zilizoiletea shida familia hii.

Cha muhimu tumepata somo kuwa bado kuna " turufu" zimebaki pale Ufipa na huenda hawa waliohamia CCM ni magarasa matupu.

Maendeleo hayana vyama!
Hichi kikundi chao huwa wanakodi watu ili kuleta fujo
 
Sasa kwa akili yako tu ya kawaida, mtu anaanzaje kuacha udiwani/ ubunge wake ambao aliupata kwa jasho na damu, aache mshahara na stahili zake zote za kustaafu?

Vyote hivyo apoteze halafu eti akaunge juhudi? Juhudi zipi?
Ni mjinga tu anaeweza kuaminishwa ujinga unao uamini wewe.

Hata mitume walimuuliza Yesu "Bwana, sisi tumeacha vyote na kukufuata ww, tutapata nini basi?
Jiongeze

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo sentensi ya mwisho ndio imenifurahisha!
 
Hapo ndio mjue kuwa kikitokea kikundi cha uasi cha kupambana na CCM huko porini hakiwezi kukosa pesa kutoka kwa raia
 
johnthebaptist ,

..kuwa mpinzani hapa Tz inahitaji kuwa na WITO.

..bila kuwa na wito ni vigumu kuhimili misukosuko ya CCM ikishirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama, pamoja na mahakama.

..aliyejiungia CDM kwa kufuata ubunge akiona nafasi yake iko hatarini lazima atahamia CCM.
 
johnthebaptist ,

..kuwa mpinzani hapa Tz inahitaji kuwa na WITO.

..bila kuwa na wito ni vigumu kuhimili misukosuko ya CCM ikishirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama, pamoja na mahakama.

..aliyejiungia CDM kwa kufuata ubunge akiona nafasi yake iko hatarini lazima atahamia CCM.
Hebu fikiria Hamis Mgeja alijiunga Chadema kumfuata Lowassa.

Siasa za bongo ni pasua kichwa!
 
Nimesikiliza kauli moja tu ya mtumishi wa Mungu Mchungaji Msigwa akikiri kuwa ana undugu na Rais Magufuli.
Na zaidi Mchungaji Msigwa akasema kama wanafamilia "wao" wana namna wanavyoshughulikia mambo yao.

Nilichojiuliza ni kwanini Mchungaji Msigwa hajawahi " Kujimwambafy" kwamba yeye ana uhusiano na Rais Magufuli?
Pale Chimala na Matamba wanajua kuwa Mchungaji Msigwa ana uhusiano na Rais Magufuli lakini jimboni Iringa wengi wamejua juzi.

Siyasemi haya kwa sababu ya Msigwa kulipiwa faini kwani hata mstaafu Kikwete aliwahi kumlipia " mahali" mwanaharakati huru na hakuna aliyehoji.

Ninachotaka kusema hapa ni ushupavu wa Dr Magufuli na Mchungaji Msigwa walivyouhifadhi uhusiano wao bila walio wengi kufahamu.

Hata juzi kama Mnikulu ndiye angeenda Segerea kumtoa Mchungaji bila shaka Msigwa angepanda gari ya serikali kurudi nyumbani tatizo ni zile sare za kijani ndio zilizoiletea shida familia hii.
Slow huwa ananunua mizoga,badala ya Kununua wapiga kura wananunua wapigiwa kura,hawa Jamaa akili zao zinafanana Na matendo yao

Cha muhimu tumepata somo kuwa bado kuna " turufu" zimebaki pale Ufipa na huenda hawa waliohamia CCM ni magarasa matupu.

Maendeleo hayana vyama!
 
CCM imenunua watu wenye njaa, hawana chochote kichwani. Mwita Waitara ana nini yule mlevi? Mkamuonga na unaibu waziri kwa Lengo la kushawishi wengine wafike bei. Je kuna la maana CCM kimeongeza, zaidi ujinga na kuendelea kutumia dola kuumiza watu

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kwa yule mlevi mbwa walibugi sana. Mtu alikuwa anakunywa hadi anajikojolea pale Banana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom