Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Hii plan failure ya jiwes and company, badala ya kuuwa umasikini eti yuko bize kuuwa upinzani.CCM imenunua watu wenye njaa, hawana chochote kichwani. Mwita Waitara ana nini yule mlevi? Mkamuonga na unaibu waziri kwa Lengo la kushawishi wengine wafike bei. Je kuna la maana CCM kimeongeza, zaidi ujinga na kuendelea kutumia dola kuumiza watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo Ufipa wako wasaka nini?!..na huko ccm ndiyo kumesheheni watu wa aina ya Mgeja.
..wengi walioko huko ni wasaka tonge na madaraka.
Chadema umekosa viongozi ila ina mamilioni ya watu walio nyuma yao.
Sio kwamba wanaipenda Chadema ila wanaichukia CCM.
Viongozi wa Chadema wangekuwa na uthubutu wa kukinukisha, watapata support kubwa sana toka kwa watu wasiowategemea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtakutana naye Tarime vijijini bwashee!Yaani kwa yule mlevi mbwa walibugi sana. Mtu alikuwa anakunywa hadi anajikojolea pale Banana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilionao ni zile clip za Mnyeti pamoja na vyeo walivyozawadiwa waliohamia!Wewe huna
Ujumbe mfupi unaoelewekaChadema umekosa viongozi ila ina mamilioni ya watu walio nyuma yao.
Sio kwamba wanaipenda Chadema ila wanaichukia CCM.
Viongozi wa Chadema wangekuwa na uthubutu wa kukinukisha, watapata support kubwa sana toka kwa watu wasiowategemea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uvumilivu utaisha, na kitakuja kizazi kisicho mjua nyerereBwashee watanzania wamekuzwa katika ustaarabu mambo ya kukinukisha kama unayapenda nenda kaishi Somalia!
Kizazi kipya kinapambana kisayansi bwashee!Uvumilivu utaisha, na kitakuja kizazi kisicho mjua nyerere
Endelea kuamini hivyo hivyo Kila jambo lina kikimo chake, uvumilivu una mwishoKizazi kipya kinapambana kisayansi bwashee!
Dunia imebadilika sana bwashee!Endelea kuamini hivyo hivyo Kila jambo lina kikimo chake, uvumilivu una mwisho
Hivi kila mpinzani anayehamia ccm kanunuliwa?
CCM ni chama kikubwa bwashee...... Ni nyumbani kwa wasema ukweli!
unapenda vita sheik kukunja ngumi unaweza?Chadema umekosa viongozi ila ina mamilioni ya watu walio nyuma yao.
Sio kwamba wanaipenda Chadema ila wanaichukia CCM.
Viongozi wa Chadema wangekuwa na uthubutu wa kukinukisha, watapata support kubwa sana toka kwa watu wasiowategemea.
Sent using Jamii Forums mobile app
au aende mashariki ya kati?Bwashee watanzania wamekuzwa katika ustaarabu mambo ya kukinukisha kama unayapenda nenda kaishi Somalia!
Swadakta umenena vema kabisa.Chadema umekosa viongozi ila ina mamilioni ya watu walio nyuma yao.
Sio kwamba wanaipenda Chadema ila wanaichukia CCM.
Viongozi wa Chadema wangekuwa na uthubutu wa kukinukisha, watapata support kubwa sana toka kwa watu wasiowategemea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kiuhalisia, ukichunguza sana, wabunge na madiwani walionunuliwa na CCM, hawakuwa na umaarufu wowote bali wao waliupata umaarufu kwa sababu walikuwa CHADEMA.CCM imenunua watu wenye njaa, hawana chochote kichwani. Mwita Waitara ana nini yule mlevi? Mkamuonga na unaibu waziri kwa Lengo la kushawishi wengine wafike bei. Je kuna la maana CCM kimeongeza, zaidi ujinga na kuendelea kutumia dola kuumiza watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunasiku watakinukisha,NI suala la muda tu. Mbuyu ukianza Kama mchichaBwashee watanzania wamekuzwa katika ustaarabu mambo ya kukinukisha kama unayapenda nenda kaishi Somalia!
Kiongozi gani ana muda huo? Arusha waliouawa ni wafuasi tu. Hajukuwa na kiongozi hata mmoja.Chadema umekosa viongozi ila ina mamilioni ya watu walio nyuma yao.
Sio kwamba wanaipenda Chadema ila wanaichukia CCM.
Viongozi wa Chadema wangekuwa na uthubutu wa kukinukisha, watapata support kubwa sana toka kwa watu wasiowategemea.
Sent using Jamii Forums mobile app
Njia uliyotumia kuzipata hizo ndo uitumie hiyohiyo.Nilionao ni zile clip za Mnyeti pamoja na vyeo walivyozawadiwa waliohamia!