chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Diva aliolewa na mganga wa kienyeji. Waliachana kwa tafrani kubwa hivi karibuni. Je fundi hiyo hampigi makombora yenye vichwa vya nyuklia? Maana hawa jamaa wana mambo yao. Mpaka Diva ana lala SegereMatata?
Ukiangalia insta page yake, na hata watumishi wenzake, ni kama jamii inampigia yowe. Possibly jamaa kalifinyanga jina la Diva na samadi mbichi ya binadamu, mtu akipita ni yowe la nzi tu
Ukiangalia insta page yake, na hata watumishi wenzake, ni kama jamii inampigia yowe. Possibly jamaa kalifinyanga jina la Diva na samadi mbichi ya binadamu, mtu akipita ni yowe la nzi tu