Inawezekana mume wa zamani wa Diva anampiga vyombo ndio maana mambo yanamuandama?

Inawezekana mume wa zamani wa Diva anampiga vyombo ndio maana mambo yanamuandama?

So ngoma ikaishaje,au na nyie mlianza kumrushia makombora?
Nikataka kumtwanga mapanga. Nimeamka kichwa kinaniuma tukaitisha kikao na mzee tukamuweka chini, na hasira nilizokuwa nazo haikupita hata nusu saa kikao hakijaisha nikazama ndani nikatukana sana nikasema natoa dakika tano huyu "kum×" aondoke hapa
 
Mimi ndio maana nimehamia majuu, maisha tight kinyama lakini zero drama. Huku sina rafiki, ndugu wala waganga wa kutoleana mapanga. Ukitaka tuonane JamiiForums 🤣
"majuu"
 
Mimi ndio maana nimehamia majuu, maisha tight kinyama lakini zero drama. Huku sina rafiki, ndugu wala waganga wa kutoleana mapanga. Ukitaka tuonane JamiiForums 🤣
Anhaaa dah! Ntumie hela ya kula leo bas. Nikipata dollar 5 tu utakuwa umenibust san Don kiwango
 
 
U sistaduu wote ule kumbe aliolewa na mganga wa kienyeji.
Nimemdharau kwa Hilo.
 
Mwenye namba ya Diva anipatie DM namuhitaji kwa mambo Binafsi, She is so beautiful, ukiacha wengine tunawaza tunampataje? [emoji849]
 
Diva ndo nani huko Daslaam ?? Unaleta uzi bila picha ????
Na huyo mganga wa kienyeji ndo nani ???
 
Diva aliolewa na mganga wa kienyeji. Waliachana kwa tafrani kubwa hivi karibuni. Je fundi hiyo hampigi makombora yenye vichwa vya nyuklia? Maana hawa jamaa wana mambo yao. Mpaka Diva ana lala SegereMatata?

Ukiangalia insta page yake, na hata watumishi wenzake, ni kama jamii inampigia yowe. Possibly jamaa kalifinyanga jina la Diva na samadi mbichi ya binadamu, mtu akipita ni yowe la nzi tu
Wanawake mnafuatiliana sana. Hao mashoga zako utadhani nasi tunawafahamu.
 
Diva na.ujuaji.wake.wote hakugundua sheikh abdulrazak alikuwa anataka.aingie mjini kwa jina.la diva alipofanikiwa akampiga matukio na.kumdhalilisha diva on public.

Kwa.waganga hilo sio la.kuuliza sema. Huyu.abdulazack mganga ana ofisi chipolopolo magomeni atakuwa mtu.wa.mipango.sana.ya.kitapeli .

Ukiona type.za.watu.wanaoshinda chipolopolo lazima ukubali.ni watu.wa.mipango
 
Wakati mwingine timu ya taifa haipati mafanikio makubwa kutokana na imani hiyo. Kuna toleo la jezi lilitoka lina alama kama msalaba waislam walitokwa povu mpaka toleo hilo likapotelea mbali wakati wa kuelekea afcon ya misri. Hiyo imani inaathiri sana maendeleo ya mchezo huo nchini. Bora timu iwe neutral kuliko kujinasibisha na dini hiyo katika nchi ambayo haingozwi kwa imani ya kiislam
 
Back
Top Bottom