Nasubiri confirmation ya hili Kwa pupa.Diva aliolewa na mganga wa kienyeji. Waliachana kwa tafrani kubwa hivi karibuni. Je fundi hiyo hampigi makombora yenye vichwa vya nyuklia? Maana hawa jamaa wana mambo yao. Mpaka Diva ana lala SegereMatata?
Ukiangalia insta page yake, na hata watumishi wenzake, ni kama jamii inampigia yowe. Possibly jamaa kalifinyanga jina la Diva na samadi mbichi ya binadamu, mtu akipita ni yowe la nzi tu
Kuna sista angu aliolewa na mganga, siku waliyoachana siku 3 mbele home ikapiga shoti ya umeme na tv ikaungua. Hapo tukaanza kupelekwa mahakaman kwa kesi ya mpaka wa kiwanja na tukashindwa, tukalipa laki 5Diva aliolewa na mganga wa kienyeji. Waliachana kwa tafrani kubwa hivi karibuni. Je fundi hiyo hampigi makombora yenye vichwa vya nyuklia? Maana hawa jamaa wana mambo yao. Mpaka Diva ana lala SegereMatata?
Ukiangalia insta page yake, na hata watumishi wenzake, ni kama jamii inampigia yowe. Possibly jamaa kalifinyanga jina la Diva na samadi mbichi ya binadamu, mtu akipita ni yowe la nzi tu
Sasa na nyie kabisaa mnakaa kupokea mahali toka kwa mganga wa kienyeji mumpe dada yenu sangoma kweli????.Kuna sista angu aliolewa na mganga, siku waliyoachana siku 3 mbele home ikapiga shoti ya umeme na tv ikaungua. Hapo tukaanza kupelekwa mahakaman kwa kesi ya mpaka wa kiwanja na tukashindwa, tukalipa laki 5
Age go, mwenywe alikuw anaona jua linazamaSasa na nyie kabisaa mnakaa kupokea mahali toka kwa mganga wa kienyeji mumpe dada yenu sangoma kweli????.
Hamkua serious
Dahh..dada zetunhawa bwana..mngempiga pini tu.. mtu akishakua mshirikina certified ni wa kujjiepusha nae mbali sanaaaAge go, mwenywe alikuw anaona jua linazama
Yule jamaa ni mwehu aseee. Alikuwa anatupiga makombora mzee mchana kweupe. Mm nilkuwa siamin uchawi ila nikaja kujionea kweli uchawi upoDahh..dada zetunhawa bwana..mngempiga pini tu.. mtu akishakua mshirikina certified ni wa kujjiepusha nae mbali sanaaa
Ahahahah... tunawaangaliaga tu mnavyosema "hakuna uchawii"Yule jamaa ni mwehu aseee. Alikuwa anatupiga makombora mzee mchana kweupe. Mm nilkuwa siamin uchawi ila nikaja kujionea kweli uchawi upo
Ndio nani huyo huko Dar?!Diva aliolewa na mganga wa kienyeji. Waliachana kwa tafrani kubwa hivi karibuni. Je fundi hiyo hampigi makombora yenye vichwa vya nyuklia? Maana hawa jamaa wana mambo yao. Mpaka Diva ana lala SegereMatata?
Ukiangalia insta page yake, na hata watumishi wenzake, ni kama jamii inampigia yowe. Possibly jamaa kalifinyanga jina la Diva na samadi mbichi ya binadamu, mtu akipita ni yowe la nzi tu
Ukisha miliki nguo ya ndani ya mtu unaweza kumfanya utakavyo..Diva aliolewa na mganga wa kienyeji. Waliachana kwa tafrani kubwa hivi karibuni. Je fundi hiyo hampigi makombora yenye vichwa vya nyuklia? Maana hawa jamaa wana mambo yao. Mpaka Diva ana lala SegereMatata?
Ukiangalia insta page yake, na hata watumishi wenzake, ni kama jamii inampigia yowe. Possibly jamaa kalifinyanga jina la Diva na samadi mbichi ya binadamu, mtu akipita ni yowe la nzi tu
Dida vs Diva .....wote watangazaji mmoja amefarikiDiva si amefariki au nachanganya mafaili hapa?
So ngoma ikaishaje,au na nyie mlianza kumrushia makombora?Yule jamaa ni mwehu aseee. Alikuwa anatupiga makombora mzee mchana kweupe. Mm nilkuwa siamin uchawi ila nikaja kujionea kweli uchawi upo
Ni mgombea wa nafasi ya ujumbe kata ya chanika kupitia ccm.Ndio nani huyo huko Dar?!