Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Nikataka kumtwanga mapanga. Nimeamka kichwa kinaniuma tukaitisha kikao na mzee tukamuweka chini, na hasira nilizokuwa nazo haikupita hata nusu saa kikao hakijaisha nikazama ndani nikatukana sana nikasema natoa dakika tano huyu "kum×" aondoke hapaSo ngoma ikaishaje,au na nyie mlianza kumrushia makombora?
Nikataka kumtwanga mapanga. Nimeamka kichwa kinaniuma tukaitisha kikao na mzee tukamuweka chini, na hasira nilizokuwa nazo haikupita hata nusu saa kikao hakijaisha nikazama ndani nikatukana sana nikasema natoa dakika tano huyu "kum×" aondoke hapa
Hawa watu wajinga sana hawa, waganga na wanga wana tofauti ndogo sana.Ulipatwa na kichaa, sijui hakimu ungempa story gani akuelewe.
Hawa watu wajinga sana hawa, waganga na wanga wana tofauti ndogo sana.
Watu mna majibu ya kunyaMkuu, mambo ya Dar achana nayo, wewe tundika jembe kwenye dari, chukua kuni uwashe jiko upike
Anhaaa dah! Ntumie hela ya kula leo bas. Nikipata dollar 5 tu utakuwa umenibust san Don kiwangoMimi ndio maana nimehamia majuu, maisha tight kinyama lakini zero drama. Huku sina rafiki, ndugu wala waganga wa kutoleana mapanga. Ukitaka tuonane JamiiForums 🤣
Aisee!
Una bahati angekuweka msukureNikataka kumtwanga mapanga. Nimeamka kichwa kinaniuma tukaitisha kikao na mzee tukamuweka chini, na hasira nilizokuwa nazo haikupita hata nusu saa kikao hakijaisha nikazama ndani nikatukana sana nikasema natoa dakika tano huyu "kum×" aondoke hapa
Shem umeanza chai 😹Kuna sista angu aliolewa na mganga, siku waliyoachana siku 3 mbele home ikapiga shoti ya umeme na tv ikaungua. Hapo tukaanza kupelekwa mahakaman kwa kesi ya mpaka wa kiwanja na tukashindwa, tukalipa laki 5
Wanawake mnafuatiliana sana. Hao mashoga zako utadhani nasi tunawafahamu.Diva aliolewa na mganga wa kienyeji. Waliachana kwa tafrani kubwa hivi karibuni. Je fundi hiyo hampigi makombora yenye vichwa vya nyuklia? Maana hawa jamaa wana mambo yao. Mpaka Diva ana lala SegereMatata?
Ukiangalia insta page yake, na hata watumishi wenzake, ni kama jamii inampigia yowe. Possibly jamaa kalifinyanga jina la Diva na samadi mbichi ya binadamu, mtu akipita ni yowe la nzi tu
Dawa ni kutokuwa na nguo za ndani tu.Ukisha miliki nguo ya ndani ya mtu unaweza kumfanya utakavyo..
Je nguo ya nje?Ukisha miliki nguo ya ndani ya mtu unaweza kumfanya utakavyo..
Mganga mwenyewe umemuona Mkuu hutajua kabisa ....U sistaduu wote ule kumbe aliolewa na mganga wa kienyeji.
Nimemdharau kwa Hilo.