The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,071
- 1,361
Hapo kwenye kufundishana ndio bado nawaza......Wakuu kwema aisee nina tatizo tatizo kubwa mimi nimeanza punyeto 2014 nilifundishwa na ndugu yangu aisee kuanzia pale nikawa nafurahia huu mchezo mpaka leo
Sasa kuna tatizo limenikuta aisee nikifanyq mapenzi huwa natumia mda mrefu saana na sikojoi kabisa yaani mpaka mpenzi wangu anachoka ila nikipiga punyeto nakojoa..
Maumbile hayajalegea.. noo nafanya mapenzi vizuri ila kukojoa ndo tatizo mpaka nitumia mda mrefu saaana.. naombeni msaada nifanyeje
UmemalizaWenzako wanasiasa wanatengeneza matatizo then suluhisho ili waonekane mashujaa ila ww naona umeenda kwenye suluhisho kabla ya tatizo.
Unatumia condom ?Wakuu kwema aisee nina tatizo tatizo kubwa mimi nimeanza punyeto 2014 nilifundishwa na ndugu yangu aisee kuanzia pale nikawa nafurahia huu mchezo mpaka leo
Sasa kuna tatizo limenikuta aisee nikifanyq mapenzi huwa natumia mda mrefu saana na sikojoi kabisa yaani mpaka mpenzi wangu anachoka ila nikipiga punyeto nakojoa..
Maumbile hayajalegea.. noo nafanya mapenzi vizuri ila kukojoa ndo tatizo mpaka nitumia mda mrefu saaana.. naombeni msaada nifanyeje
Bora uchelewe kufika kuliko kuwahiππππWakuu kwema aisee nina tatizo tatizo kubwa mimi nimeanza punyeto 2014 nilifundishwa na ndugu yangu aisee kuanzia pale nikawa nafurahia huu mchezo mpaka leo
Sasa kuna tatizo limenikuta aisee nikifanyq mapenzi huwa natumia mda mrefu saana na sikojoi kabisa yaani mpaka mpenzi wangu anachoka ila nikipiga punyeto nakojoa..
Maumbile hayajalegea.. noo nafanya mapenzi vizuri ila kukojoa ndo tatizo mpaka nitumia mda mrefu saaana.. naombeni msaada nifanyeje