Utapoteza muda wako. Wewe umeyaona kama kumi hivi kwa hiyo yapo zaidi ya hayo. Utakapokuwa unatoa taarifa utalitofautishaje hilo na yale tisa mengine?Kwahiyo likinigonga nisiende kuripoti?
[emoji23][emoji23] mbona kama umeuliza alichouliza?Utapoteza muda wako. Wewe umeyaona kama kumi hivi kwa hiyo yapo zaidi ya hayo. Utakapokuwa unatoa taarifa utalitofautishaje hilo na yale tisa mengine?
Haha kweli na sikugundua hadi uliponishtua ndio nimeenda kumsoma Tena.[emoji23][emoji23] mbona kama umeuliza alichouliza?
Kumekucha SasaUtashindana na Rais wewe?
Kwahio likinigonga nisiende kuripoti?