darubin ya mbao
JF-Expert Member
- Aug 3, 2016
- 1,899
- 4,055
Tumerudi kwenye fungate la uhuru.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiki kitoyota Wallah hata Magu mwenyewe hafurahii kuona kimewekewa jina lake na nakwambia Traffic watakukamata tu ukizingua road maana inaonekana dhahiri wewe kwny msafara wa Mamba ni kenge tu.
Nimekuwa nikiona magari mengi tofauti yana namba za usajili T2020 JPM, nauliza je hii ni namba halali kwa magari haya?
Nimeona magari zaidi ya 10 yana namba hii. Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii?
Mfano limesababisha ajali nikienda polisi nikiwatajia namba hii watajua ni ipi kati ya hizo nyingi zinazotumia namba hii?
Cc: Mkuu wa usalama barabarani.
Hizo gari za serikal bhana!!!! Wengine wamegharamia tu plate no.Ni hivi, hizo ni private number na zinalipiwa TRA.
Hata wewe kama una gari 5 na zote unataka kuweka jina lako (Rrondo) ni pesa yako tu
Unamshauri tumbili amuadhibu nyaniNashaur TRA Ichunguz hizo gari , kama usajili huo hawautambua wawajishe kisheria
Hizo gari za serikal bhana!!!! Wengine wamegharamia tu plate no.
Hili ndio jibu sahihi na TRA haina ubavu wa kuwafanya chochote hao wahusika.Uwezekano ni kuwa hata TRA hawana habari bali ni ununda wa wale wanaojibeba ki dola dola.
TRA ubavu huo hawana.Nashaur TRA Ichunguz hizo gari , kama usajili huo hawautambua wawajishe kisheria
Andikeni tuone kama hayataruhusiwaKila siku tunapiga kelele kuhusu Serikali hii na CCM yake wanafanya mambo ya kipuuzi yaliyo kinyume cha Sheria lakini hakuna hatua inayochukuliwa. Imagine hayo magari yangekuwa yameandikwa Lissu au Rungwe unadhani yangeruhusiwa kupita Barabarani?
Acha ubaguzi mkuu, kumbe inabidi uwe na gari na si usafiri?Hiki kitoyota Wallah hata Magu mwenyewe hafurahii kuona kimewekewa jina lake na nakwambia Traffic watakukamata tu ukizingua road maana inaonekana dhahiri wewe kwny msafara wa Mamba ni kenge tu...
Hata mimi nafikiria hivi. Ila hatari yake ikoje iwapo gari lenye namba hii likipiga tukio?Kuna vigari naviona vimewekwa hio T2020 JPM kama Altezza,Allion,Opa etc halafu nakua siamini amini hivi kweli hawa wamesajili hizi No. Plates huko TRA au wanatania?...