T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Msijifanye vipofu wewe ungekuwa polisi ndio ungefanyaje?Hii nchi polisi wanajuaga sheria ikiwa ni upinzani tu, ukiwa CCM unaweza kufanya lolote. Huku Tabata yamejaa kuanzia la mgombea ubunge Segerea, madiwani na mashabiki.
Vaa viatu vyao