FUTURE HUNTER
JF-Expert Member
- Apr 30, 2018
- 2,050
- 2,651
Hapa kwenye taasisi ya serikali nimeshuhudia gari imeazimwa kuja kurudi imebandikwa namba binafisi tena mbele na nyuma zikiwa tofauti huku gari limejaa mabango ya CCM.Ama kweli hiki chama kinatumia magari ya serikali