Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,753
- 3,685
Utatofautisha kwa rangi na aina. Ukifika polisi utawaambia gari aina.... rangi ..... Mhimili mwingine mizizi yake imejichimbia zaidi, kumbuka hilo... Ujiongeze na ujue kazi ya mzizi na umuhimu wake kwenye mti.