MR KUO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 2,678
- 3,818
Yale hayagongi.ukiona yamekugonga ujue wewe ndo umeyagonga yako juu ya sheria za usalama barabarani.Kwahiyo likinigonga nisiende kuripoti?
Mawazo yangu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yale hayagongi.ukiona yamekugonga ujue wewe ndo umeyagonga yako juu ya sheria za usalama barabarani.Kwahiyo likinigonga nisiende kuripoti?
Wamebadil lini?Zilikuwa na Namba CCM.Haya ni maajabu na uvunjifu wa sheria za usalama barabarani huku tukiwashangilia.Je,wengine wakifanya hivyo wataruhusiwa?Nimekuwa nikiona magari mengi tofauti yana namba za usajili T2020 JPM, nauliza je hii ni namba halali kwa magari haya?
Nimeona magari zaidi ya 10 yana namba hii. Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii?
Mfano limesababisha ajali nikienda polisi nikiwatajia namba hii watajua ni ipi kati ya hizo nyingi zinazotumia namba hii?
Cc: Mkuu wa usalama barabarani.
Hahah aisee.Hii inatokana na matatizo ya ubongo wa baadhi ya wanadamu.
malizana naye hapohapo kwa style yakoKwahiyo likinigonga nisiende kuripoti?
Yupo juu ya sheria?Utashindana na Rais wewe?
Kwani likikugonga utapona? Wewe no jiwe utakuwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo likinigonga nisiende kuripoti?
Hii fee ya Tsh.150,000 mbona hata kwny jedwali la TRA haipo mzee baba?View attachment 1591817
Tatizo hatujui tofauti ya maoni na matusiSifuti,ni haki yangu kikatiba kutoa maoni yangu
Kushindana na rais kwenye kuvunja sheria..!!??Utashindana na Rais wewe?
Special number mkuu, ikitokea ajali inakuwajeSpecial number na nyingi ni za pale Lumumba ofisi ya CCM.
Kwani tupo katika taifa la kifalme?Unaelewa kuwa viongozi wanapaswa kutukanwa sana?Tatizo hatujui tofauti ya maoni na matusi
Nikweli hata mimi nimeziona, sijui zinatolewaje!
Wahalifu pia wanaweza tumia mwanya huo wakatekeleza jambo lao.
Kawadanganye ufipa wenzakoMkuu mimi ni Team JPM for 2020-25!
AiseeMwambie asishindane nae kwa Nchi za Kiafrika Rais yupo juu kuliko hata Mungu si umeisikia ile video ya kimkakati mwanadada mwenzako alivyotamka ushindi wa CCM hauhitaji Mungu akipenda akipenda asipende ushind LAZIMA si ndio??
Utashindana na Rais wewe?