Munambefu
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 2,811
- 7,200
Swali la kipumbavu kutoka kwa mtu mpumbavuMsijifanye vipofu wewe ungekuwa polisi ndio ungefanyaje?
Vaa viatu vyao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali la kipumbavu kutoka kwa mtu mpumbavuMsijifanye vipofu wewe ungekuwa polisi ndio ungefanyaje?
Vaa viatu vyao
Hzo n za mda mfupi Ila kitu wamekosea n kuachia ad watu wakawaida watumie huenda alietoa hlo wazo hakufikir kwa kina faida na hasara zake lakn kutumika kweny msafara wa rais n sawa kabsa na ilitakiwa iwe hvyo wengne huko wabandike stika pembezon bac n hvyo kunakitu Kama mabavu kimetumika bila kushirikisha akilKwa hio hizi No. Maalumu 'za kiserikali' sasa mtu binafsi anaruhusiwa kuzisajili sio?
Kwa mfano hii:T 2020 JPM umaalumu wake unakua ni upi kulinganisha na hizo No. Binafsi.?
Hzo n za mda mfupi Ila kitu wamekosea n kuachia ad watu wakawaida watumie huenda alietoa hlo wazo hakufikir kwa kina faida na hasara zake lakn kutumika kweny msafara wa rais n sawa kabsa na ilitakiwa iwe hvyo wengne huko wabandike stika pembezon bac n hvyo kunakitu Kama mabavu kimetumika bila kushirikisha akil
Kwahiyo likinigonga nisiende kuripoti?
Hii nchi kwishnei kabisaUtapoteza muda wako. Wewe umeyaona kama kumi hivi kwa hiyo yapo zaidi ya hayo. Utakapokuwa unatoa taarifa utalitofautishaje hilo na yale tisa mengine?
Yan hzo hyo number n maalum haiwez fananishwa na binafs ingawa walichokosea n kugawa ad kwa raia ilitakiwa zle gar za kijan Yuko nazo rais ndo ziwe na hzo number tu hao waliobak huko mfano wazir mkuu wabunge kule wanakoenda kumpiga kampen wabandike tu stika pemben co kweny plate number ndo nkasema Hapo hlo kosa huenda linafanyika kimabavu bila kufikiria hasara yakeIngawa sijaelewa vzr ila acha nizuge tu nimeelewa mkuu.
Nchi ina watawala wa hovyo haijawahi kutokea.Kila siku tunapiga kelele kuhusu Serikali hii na CCM yake wanafanya mambo ya kipuuzi yaliyo kinyume cha Sheria lakini hakuna hatua inayochukuliwa. Imagine hayo magari yangekuwa yameandikwa Lissu au Rungwe unadhani yangeruhusiwa kupita Barabarani?
Jibu fake!Jibu langu ni hilo hilo. Hakuna mtu ANAEPASWA kutukanwa.
Uko sahihi kwa asilimia 5% tu, private numbers zinasajiliwa lakini (sidani) kama zinafananishwa hivi. Mfano ukiipa gari moja namba ya 'countrywid' basi inayofuata inabidi iwe 'countrywid2' au ''countrywie-b' nk maana utambulisho wa hivi vifaa inabidi uwe unique kwa kila kifaa. Kwa hiyo moja inaweza kuwa T2020 CCM lakini nyingine labda iwe T2020 CCM 2.Ni hivi, hizo ni private number na zinalipiwa TRA.
Hata wewe kama una gari 5 na zote unataka kuweka jina lako (Rrondo) ni pesa yako tu
Tundu lissu anatumia..Najiuliza tu, wale wapenzi na washabiki wa Lissu wakitaka kuweka T 2020 TAL wataruhusiwa? Manake kusiwe na double standard!!
Kwa nilivyomuelewa mimi ni kuwa labda hizo namba ni za msafara maalum wa kampeni ila wengine huku kitaa wamezivamia kama ulivyosema msafara ule huwa una ma VX Y62 nk na sio hizi Altezza huku mtaani.Ingawa sijaelewa vzr ila acha nizuge tu nimeelewa mkuu.
Nishaona SH....COM 1, SH....COM2, SH....COM 3Uko sahihi kwa asilimia 5% tu, private numbers zinasajiliwa lakini (sidani) kama zinafananishwa hivi. Mfano ukiipa gari moja namba ya 'countrywid' basi inayofuata inabidi iwe 'countrywid2' au ''countrywie-b' nk maana utambulisho wa hivi vifaa inabidi uwe unique kwa kila kifaa. Kwa hiyo moja inaweza kuwa T2020 CCM lakini nyingine labda iwe T2020 CCM 2.
Mwenye wazo zaidi ya hili anikosoe tafadhali
Mkuu, hayo Ni maandalizi ya 28/10/2020..Nimekuwa nikiona magari mengi tofauti yana namba za usajili T2020 JPM, nauliza je hii ni namba halali kwa magari haya?
Nimeona magari zaidi ya 10 yana namba hii. Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii?
Mfano limesababisha ajali nikienda polisi nikiwatajia namba hii watajua ni ipi kati ya hizo nyingi zinazotumia namba hii?
Cc: Mkuu wa usalama barabarani.
Hayajapigwa Rangi..Katibu Mwenezi wa CCM Bwana Slowslow ni mwizi(Mwenezi) na Kibaka unategemea Nini?
Katibu Mkuu Bwana Bashiru(Bushiri )ni msanii na mcheza Bongo Fleva unategemea Nini hapo?
Magufuli amedanganywa na kudanganyika na hao watendaji wa Chama chake CCM. Magari yote ya Ikulu yakapigwa RANGI KIJANI na kubadilisha plate numbers kutoka ST-X na kuwa T2020 JPM.....!!!
Yaani Bashiru na Polepole uso wa nyani wanategemea kushinda Uchaguzi kwa mbwembwe za kitoto!!
Magufuli kwa hofu ya kushindwa Uchaguzi akakubali upuuzi huu wa kutumia RASLIMALI za Serikali kwene Kampeni zake hakika ni kuingizwa Choo Cha kike na itakula kwao.
Personally, sijaona mtu mwingine na gari lenye namba hiyo mkuu.Je kuna wengine mtaani wanatumia hio?!
Lakini utawasikia wakisema nakujisabu kwa msisitizo hata kama uchaguzi sheria za nchi zipo pale pale na zinapaswa kuheshimiwa😂😂😂😂😂mahubiri na matendo yao tofauti kabisaNimekuwa nikiona magari mengi tofauti yana namba za usajili T2020 JPM, nauliza je hii ni namba halali kwa magari haya?
Nimeona magari zaidi ya 10 yana namba hii. Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii?
Mfano limesababisha ajali nikienda polisi nikiwatajia namba hii watajua ni ipi kati ya hizo nyingi zinazotumia namba hii?
Cc: Mkuu wa usalama barabarani.
Ni suala la kiusalama zaidi kuliko siasa Kama ulikuwa hujui...Nimekuwa nikiona magari mengi tofauti yana namba za usajili T2020 JPM, nauliza je hii ni namba halali kwa magari haya?
Nimeona magari zaidi ya 10 yana namba hii. Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii?
Mfano limesababisha ajali nikienda polisi nikiwatajia namba hii watajua ni ipi kati ya hizo nyingi zinazotumia namba hii?
Cc: Mkuu wa usalama barabarani.
Aisee!Mkuu, hayo Ni maandalizi ya 28/10/2020..
Yatarahisisha wizi wa kura, kusafirisha na kuwasilisha masanduku ya kura feki, utekaji, wizi, unyang'anyi na uovu mwingine woote.
Na kwa kuwa hayana namba za pekee (unique) kuyafuatilia haiwezekani!