Uchaguzi 2020 Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii ya T 2020 JPM?

Uchaguzi 2020 Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii ya T 2020 JPM?

Aliekuambia dhana ya kuwa hakuna alie juu ya sheria maana yake ni kwamba kila atakaefanya kosa ni lazima sheria iwe na uwezo wa kumshtaki ni nani?Kama hujui kitu ni vyema ukanyamaza!
Nimekujibu kulingana na jibu lako kwenye comment ya mdau hapo juu 🖕, yeye kasema huwezi kumshtaki Rais,wewe ukamuita mjinga na kudai hakuna aliejuu ya sheria.Mimi nimekuomba hiyo katiba inayokupa uwezo wa kumshtaki Rais ili tuuthibitishe ujinga wa huyo jamaa.Ulichokijibu Ni tofauti na takwa la swali langu.

NB:Usipanick,haisaidii chochote.
 
Nimekujibu kulingana na jibu lako kwenye comment ya mdau hapo juu [emoji867], yeye kasema huwezi kumshtaki Rais,wewe ukamuita mjinga na kudai hakuna aliejuu ya sheria.Mimi nimekuomba hiyo katiba inayokupa uwezo wa kumshtaki Rais ili tuuthibitishe ujinga wa huyo jamaa.Ulichokijibu Ni tofauti na takwa la swali langu.

NB:Usipanick,haisaidii chochote.
Aliepanic kati ya mimi na wewe ni nani?Mimi hakuna sehemu yoyote nimezungumzia masuala ya kushtakiwa Rais.Masuala ya kutokushtakiwa Rais mmeyaleta ninyi na masuala hayo hayana uhusiano wowote na dhana ya hakuna alie juu ya sheria.Unachofanya ni kwamba unataka kulazimisha kwa umma wa watanzania kuwa Magufuli yupo juu ya sheria kwa sababu katiba haijasema ashtakiwe,kitu ambacho ni non-sense katika sheria.

Narudia tena kwa msisitizo:Hakuna alie juu ya sheria
 
Kesho sijui nitoke na Vitz yangu niitie T 2020 Jeipiemu [emoji23][emoji23][emoji23]?
 
Wajuzi watatuambia..Hizi za T2020JPM bila shaka zitakuwa namba maalum(Tshs 500,000)..
Ya 500,000 ndio kila mtu anatumia sio. Kama Mimi nikilipia 500,000 kwa T2020 RNDO mke wangu atatumia,mtoto wangu,mjomba angu,shangazi na Baba mdogo na yeyote namba hio hio?!
 
Hii nchi polisi wanajuaga sheria ikiwa ni upinzani tu, ukiwa CCM unaweza kufanya lolote. Huku Tabata yamejaa kuanzia la mgombea ubunge Segerea, madiwani na mashabiki.

Unaruhusiwa hata wewe kuweka kikubwa uwe kada na tukujue.
 
Kama ingekua kura yangu moja to itaamua Mshindi,yaani nikiiweka kwa Lissu anashinda, ama nikiiweka kwa Magufuli anashinda.
Halafu wagombea hao wawili kila mmoja akanifuata akaniomba nimchague yeye, ikawa hivi.

Mgombea wa CCM akaniambia ukinipa kura yako nitashinda,nikishinda nitakufanya kuwa Waziri Mkuu.

Naye mgombea wa CHADEMA akaniambia nope kura yako ili niwe Rais,nikiwa Rais nitaongoza kwa Haki.

Aisee nikiwaza mitano mingine ya Magu, aisee kura yangu tarehe 23 Oct 2020 ntampa Lissu.
 
Kuna watu wanatumia akili vibaya tena kwa gharama za walipa kodi Watanzania
 
Special number na nyingi ni za pale Lumumba ofisi ya CCM.

Mkuu gari mbili haziwezi kuwa na namba moja.

Za hawa jamaa hata mikoa mbali mbali namba hiyo hiyo.

Uvunjaji sheria za nchi wa wazi sembuse kwa sheria, kanuni au taratibu za uchaguzi walizoweka wao?

Aibu kwake 'kubwa jinga bwana manoti' hapo kwenye tume na njaa zako zilizo pitiliza.

Disgusting!
 
Ya 500,000 ndio kila mtu anatumia sio. Kama Mimi nikilipia 500,000 kwa T2020 RNDO mke wangu atatumia,mtoto wangu,mjomba angu,shangazi na Baba mdogo na yeyote namba hio hio?!
Kuhusu uhalali/utaratibu wa kutumia sijui..Nimesema T2020JPM zinaweza kuwa namba maalum kutokana na utitiri wa watu kuzitumia..500K ni rahisi ukilinganisha na 10M..
 
Hivi kumbe zile ni gari za serikali..? [emoji15]

Kalagabaho!

CHADEMA Wana data zote za magari hayo. Kuna mpango mkakati wa kufungua kesi Mahakama Kuu ku-challenge huu upuuzi wa CCM. ambao ni kinyume Cha Katiba na Tume ya Uchaguzi.
 
Back
Top Bottom