Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekujibu kulingana na jibu lako kwenye comment ya mdau hapo juu 🖕, yeye kasema huwezi kumshtaki Rais,wewe ukamuita mjinga na kudai hakuna aliejuu ya sheria.Mimi nimekuomba hiyo katiba inayokupa uwezo wa kumshtaki Rais ili tuuthibitishe ujinga wa huyo jamaa.Ulichokijibu Ni tofauti na takwa la swali langu.Aliekuambia dhana ya kuwa hakuna alie juu ya sheria maana yake ni kwamba kila atakaefanya kosa ni lazima sheria iwe na uwezo wa kumshtaki ni nani?Kama hujui kitu ni vyema ukanyamaza!
Aliepanic kati ya mimi na wewe ni nani?Mimi hakuna sehemu yoyote nimezungumzia masuala ya kushtakiwa Rais.Masuala ya kutokushtakiwa Rais mmeyaleta ninyi na masuala hayo hayana uhusiano wowote na dhana ya hakuna alie juu ya sheria.Unachofanya ni kwamba unataka kulazimisha kwa umma wa watanzania kuwa Magufuli yupo juu ya sheria kwa sababu katiba haijasema ashtakiwe,kitu ambacho ni non-sense katika sheria.Nimekujibu kulingana na jibu lako kwenye comment ya mdau hapo juu [emoji867], yeye kasema huwezi kumshtaki Rais,wewe ukamuita mjinga na kudai hakuna aliejuu ya sheria.Mimi nimekuomba hiyo katiba inayokupa uwezo wa kumshtaki Rais ili tuuthibitishe ujinga wa huyo jamaa.Ulichokijibu Ni tofauti na takwa la swali langu.
NB:Usipanick,haisaidii chochote.
Nadhani mzee baba hukutegemea thread yako khs No. Plates zingeleta mpk mambo ya uchama,hahah pole sana mkuu.Sawa mkuu.
Utapoteza muda wako. Wewe umeyaona kama kumi hivi kwa hiyo yapo zaidi ya hayo. Utakapokuwa unatoa taarifa utalitofautishaje hilo na yale tisa mengine?
Zipo Tele Gari Kubwa Mpaka
Bodaboda, Yaani Changamoto Ya CCM
Na zile Zilizoandikwa CCM Tele
Ndiyo uendel kwani wew mmoja tu ukifa utapunguza nini?Kwahiyo likinigonga nisiende kuripoti?
Hata mimi sikujua kuwa kuna namba binafsi na namba maalum. Mfano wake ni upi?
Ya 500,000 ndio kila mtu anatumia sio. Kama Mimi nikilipia 500,000 kwa T2020 RNDO mke wangu atatumia,mtoto wangu,mjomba angu,shangazi na Baba mdogo na yeyote namba hio hio?!Wajuzi watatuambia..Hizi za T2020JPM bila shaka zitakuwa namba maalum(Tshs 500,000)..
Pouwa..Toka nayo utuletee mrejesho.
Hahah daah kuna wengine wamekuita Mataga wengine Chadema.,24/7 watu wana hasira.Ha ha ha upande huu wana hasira, upande huu wanatetea bila kuangalia msingi wa swali.
Hii nchi polisi wanajuaga sheria ikiwa ni upinzani tu, ukiwa CCM unaweza kufanya lolote. Huku Tabata yamejaa kuanzia la mgombea ubunge Segerea, madiwani na mashabiki.
Special number na nyingi ni za pale Lumumba ofisi ya CCM.
Kuhusu uhalali/utaratibu wa kutumia sijui..Nimesema T2020JPM zinaweza kuwa namba maalum kutokana na utitiri wa watu kuzitumia..500K ni rahisi ukilinganisha na 10M..Ya 500,000 ndio kila mtu anatumia sio. Kama Mimi nikilipia 500,000 kwa T2020 RNDO mke wangu atatumia,mtoto wangu,mjomba angu,shangazi na Baba mdogo na yeyote namba hio hio?!
Hivi kumbe zile ni gari za serikali..? [emoji15]