Uchaguzi 2020 Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii ya T 2020 JPM?

Uchaguzi 2020 Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii ya T 2020 JPM?

Ha ha ha upande huu wana hasira, upande huu wanatetea bila kuangalia msingi wa swali.
Ilikuwa mada nzuri sana ya kujadili vizuri, bahati mbaya imevamiwa na washabiki wenzangu wa chadema kwa jazba kama ilivyo kawaida.
Hata gari za Lissu nazo zina plate number zimeandkiwa "LISSU NI YEYE"
Ila kwa kuww hawa wenzetu akili hawana hata hilo nalo hawalijui
Picha
IMG_20201006_172931.jpg
 
Ndo ujinga wa kuongozwa na kiongozi zuzu na mshamba.

Kila gari ya serikali inatumika kwa manufaa ya chama.

Ila wangekuwa upinzani muda sheria ingetafsriwa kuhusu plate namba za magari.
 
Ilikuwa mada nzuri sana ya kujadili vizuri, bahati mbaya imevamiwa na washabiki wenzangu wa chadema kwa jazba kama ilivyo kawaida.
Hata gari za Lissu nazo zina plate number zimeandkiwa "LISSU NI YEYE"
Ila kwa kuww hawa wenzetu akili hawana hata hilo nalo hawalijui
Picha
View attachment 1592269
Je, za TL nazo ni nyingi kama hizi zinazotumia T2020 JPM ?
 
Ndo ujinga wa kuongozwa na kiongozi zuzu na mshamba.
Kila gari ya serikali inatumika kwa manufaa ya chama .
Ila wangekuwa upinzani muda sheria ingetafsriwa kuhusu plate namba za magari.
Punguza jazba mkuu.
 
Huu ni uhuni kama uhuni mwingine kwa sababu nina uhakika sio special number kwa mujibu wa taratibu za TRA.
 
Kuhusu uhalali/utaratibu wa kutumia sijui..Nimesema T2020JPM zinaweza kuwa namba maalum kutokana na utitiri wa watu kuzitumia..500K ni rahisi ukilinganisha na 10M..
Swali ni kwamba inawezekana vipi zaidi ya gari moja zitumie namba inayofanana? Ushawahi kuona mtu mwenye namba kama yako ya simu?
 
Ilikuwa mada nzuri sana ya kujadili vizuri, bahati mbaya imevamiwa na washabiki wenzangu wa chadema kwa jazba kama ilivyo kawaida.
Hata gari za Lissu nazo zina plate number zimeandkiwa "LISSU NI YEYE"
Ila kwa kuww hawa wenzetu akili hawana hata hilo nalo hawalijui
Picha
View attachment 1592269
Kinachojadiliwa ni gari zaidi ya moja kuwa na mfanano wa namba au jina kwa kila kitu. Acha kuwa na kichwa kigumu. Huoni kuwa hilo ni kosa? Yani mashabiki wa Magufuli mko hovyo hovyo
 
Kinachojadiliwa ni gari zaidi ya moja kuwa na mfanano wa namba au jina kwa kila kitu. Acha kuwa na kichwa kigumu. Huoni kuwa hilo ni kosa? Yani mashabiki wa Magufuli mko hovyo hovyo

Kwanini wafuasi na Vibaraka wa CCM wote Wana akili za kuokoteza?
Palipoandikwa "Lissu Ni Yeye" hakuna number yoyote pale. Inaonekana hujui hata maana ya plate number! Jinga kabisa.
 
Asiposimama? Kawaida asiposimama watu wanakariri namba tu ila ukikariri namba hii watakamata gari ipi?
Pengine mtu itabidi awe more specific kwenye maelezo yake. Mfano, aina ya gari, rangi yake, muda tukio lilipotokea, eneo tukio lilipotokea n.k.
 
Ni hivi, hizo ni private number na zinalipiwa TRA.
Hata wewe kama una gari 5 na zote unataka kuweka jina lako (Rrondo) ni pesa yako tu
Mkuu huyu hajawahi kumiliki gari hawezikujua hizo special vehicle plate number na zinavyooperate!
 
Nimekutana na gari za Kampeni za Gwajima ile sehemu ya Number wameweka bendera ya CCM, inaonekana ukiwa CCM huguswi na mtu yeyote.
 
Kila siku tunapiga kelele kuhusu Serikali hii na CCM yake wanafanya mambo ya kipuuzi yaliyo kinyume cha Sheria lakini hakuna hatua inayochukuliwa. Imagine hayo magari yangekuwa yameandikwa Lissu au Rungwe unadhani yangeruhusiwa kupita Barabarani?
Hivi uko Tanzania mkuu kweli?? Hujaona magari yaliyo na plate number za majina ya watu mkuu? Kuna MO, JAVAN n.k hata wewe unaweza kupata plate kwa jina lako unalipia TZS 5,000,000.00 kwa mwaka kama hiyo fee haijabadirika.
 
Back
Top Bottom