Coolhigh
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,373
- 1,271
I know. Nimetolea tu mfano kuwa inayoiona siyo namba iliyosajiliwa nayo. Mfano tu mjengoni zipo gari kama 10 ambazo zina ngao ya taifa, na kwenye misafara mara nyingi lazima 2 ziwepo.Mkuu gari ya Waziri inajulikana kwa namba zake hazipo kumi zote zitumie namba moja.