Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Basi litakuwa lile Tapeli la kimataifa kutoka Chato lililojingea uwanja wa ndegeSidhani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi litakuwa lile Tapeli la kimataifa kutoka Chato lililojingea uwanja wa ndegeSidhani.
Nimekuwa nikiona magari mengi tofauti yana namba za usajili T2020 JPM, nauliza je hii ni namba halali kwa magari haya?
Nimeona magari zaidi ya 10 yana namba hii. Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii?
Mfano limesababisha ajali nikienda polisi nikiwatajia namba hii watajua ni ipi kati ya hizo nyingi zinazotumia namba hii?
Cc: Mkuu wa usalama barabarani.
Naamini hiyo ni special number za kampeni za maCCM. Siamini kama ni permanently registered number kwa gari husika. Hivyo naamini endapo gari itakamatwa, basi mwenye gari ataonyesha namba yake yenye usajili wa kudumu. Naamini kwamba gari hizo zinatembea na namba zao za usajili wa kudumu pia.We hujawaza kwa kina, private number ikishachukuliwa na mmoja, hiyo namba anapewaje tena mwingine? Halafu kuna watu wamekupa na LIKE aisee ushabiki bila kutumia akili ni mbaya sana.
Hata kama ni magari ya mtu mmoja, lazima iwekwe tofauti.. mfano kama mwenye hayo magari anaitwa MIMI, inaweza ikaandikwa MIMI 1, MIMI 2, MIMI 3 etc... huwezi yote ukaandikiwa MIMI, MIMI, MIMI.
Acheni kutetea vya kijinga
Fikiria, umekutana na trafiki anakagua magari kwa vile vimashine vyao, kama inadaiwa akaona T 2020 JPM inadaiwa, atamkamata nani?
We don't care whether ni sticker or colours! The issue is CCM kutumia magari ya Serikali kufanya Kampeni za CCM!! That's a big NO!!!Hayajapigwa Rangi..
Zile ni sticker mkuu,
Kama ambavyo unaona watu wanaprint sticker za ccm na kubandika magari yao.
Kampeni zikiisha utaona watabandua sticker tuu..
Kama hii hapa..View attachment 1591923
Hakuna awamu yenye uhuni na ufisadi wa kutisha kama hii ya DJ na mjomba wakeNimekuwa nikiona magari mengi tofauti yana namba za usajili T2020 JPM, nauliza je hii ni namba halali kwa magari haya?
Nimeona magari zaidi ya 10 yana namba hii. Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii?
Mfano limesababisha ajali nikienda polisi nikiwatajia namba hii watajua ni ipi kati ya hizo nyingi zinazotumia namba hii?
Cc: Mkuu wa usalama barabarani.
Siyo kosa kisheria..!? Unakuwaje na namba zaidi ya moja kwa gari moja..!?Naamini hiyo ni special number za kampeni za maCCM. Siamini kama ni permanently registered number kwa gari husika. Hivyo naamini endapo gari itakamatwa, basi mwenye gari ataonyesha namba yake yenye usajili wa kudumu. Naamini kwamba gari hizo zinatembea na namba zao za usajili wa kudumu pia.
Dada huwa unakurupuka kuja jamvini mara nyingi.Utashindana na Rais wewe?
Hapa siyo mahala pa kujadili masuala ya usalama na hasa wa Rais...Sijakuelewa mkuu. Kuweka namba hio hio kwenye gari ina usalama gani maanake hata moja ikipiga tukio haitajulikana?
Asiposimama? Kawaida asiposimama watu wanakariri namba tu ila ukikariri namba hii watakamata gari ipi?Naamini hiyo ni special number za kampeni za maCCM. Siamini kama ni permanently registered number kwa gari husika. Hivyo naamini endapo gari itakamatwa, basi mwenye gari ataonyesha namba yake yenye usajili wa kudumu. Naamini kwamba gari hizo zinatembea na namba zao za usajili wa kudumu pia.
Zinatumika kwenye matukio ya Ujambazi
Hivi kumbe zile ni gari za serikali..? [emoji15]We don't care whether ni sticker or colours! The issue is CCM kutumia magari ya Serikali kufanya Kampeni za CCM!! That's a big NO!!!
Mnafahamiana au..!?Hapa siyo mahala pa kujadili masuala ya usalama na hasa wa Rais...
Usalama wa rais unahusikaje na hizi Altezza,Opa,Brevis,Mark x,Noah zenye hio T 2020 JPM za jamaa tunaokunywa nao huku bar za uswazi?Hapa siyo mahala pa kujadili masuala ya usalama na hasa wa Rais...
Wewe nyau inatakiwa zingeandikwa T 2020 JPM 1, T 2020 JPM 2,......Huku Mbeya hadi gari la matangazo analotumia Tulia lina namba hiyo hiyo T2020 JPM
Kwanini likugonge?Kwahiyo likinigonga nisiende kuripoti?
Yapo yaliyoandikwa PLATINUMZ pia.Hata wewe unaweza.Kila siku tunapiga kelele kuhusu Serikali hii na CCM yake wanafanya mambo ya kipuuzi yaliyo kinyume cha Sheria lakini hakuna hatua inayochukuliwa. Imagine hayo magari yangekuwa yameandikwa Lissu au Rungwe unadhani yangeruhusiwa kupita Barabarani?
Uwe makini barabarani.Ajali.