Uchaguzi 2020 Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii ya T 2020 JPM?

Uchaguzi 2020 Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii ya T 2020 JPM?

Nimekuwa nikiona magari mengi tofauti yana namba za usajili T2020 JPM, nauliza je hii ni namba halali kwa magari haya?

Nimeona magari zaidi ya 10 yana namba hii. Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii?

Mfano limesababisha ajali nikienda polisi nikiwatajia namba hii watajua ni ipi kati ya hizo nyingi zinazotumia namba hii?

Cc: Mkuu wa usalama barabarani.

Mkuu kwa nini usianze initiative ya kukusanya picha za magari yote hayo popote yalipo kwa ajili ya ushahidi maalumu utakapo hitajika baada 28. Oktoba?
 
We hujawaza kwa kina, private number ikishachukuliwa na mmoja, hiyo namba anapewaje tena mwingine? Halafu kuna watu wamekupa na LIKE aisee ushabiki bila kutumia akili ni mbaya sana.

Hata kama ni magari ya mtu mmoja, lazima iwekwe tofauti.. mfano kama mwenye hayo magari anaitwa MIMI, inaweza ikaandikwa MIMI 1, MIMI 2, MIMI 3 etc... huwezi yote ukaandikiwa MIMI, MIMI, MIMI.

Acheni kutetea vya kijinga

Fikiria, umekutana na trafiki anakagua magari kwa vile vimashine vyao, kama inadaiwa akaona T 2020 JPM inadaiwa, atamkamata nani?
Naamini hiyo ni special number za kampeni za maCCM. Siamini kama ni permanently registered number kwa gari husika. Hivyo naamini endapo gari itakamatwa, basi mwenye gari ataonyesha namba yake yenye usajili wa kudumu. Naamini kwamba gari hizo zinatembea na namba zao za usajili wa kudumu pia.
 
Hayajapigwa Rangi..

Zile ni sticker mkuu,

Kama ambavyo unaona watu wanaprint sticker za ccm na kubandika magari yao.

Kampeni zikiisha utaona watabandua sticker tuu..

Kama hii hapa..View attachment 1591923
We don't care whether ni sticker or colours! The issue is CCM kutumia magari ya Serikali kufanya Kampeni za CCM!! That's a big NO!!!
 
Nimekuwa nikiona magari mengi tofauti yana namba za usajili T2020 JPM, nauliza je hii ni namba halali kwa magari haya?

Nimeona magari zaidi ya 10 yana namba hii. Inawezekana vipi gari zote hizi tena aina tofauti ziwe na namba hii?

Mfano limesababisha ajali nikienda polisi nikiwatajia namba hii watajua ni ipi kati ya hizo nyingi zinazotumia namba hii?

Cc: Mkuu wa usalama barabarani.
Hakuna awamu yenye uhuni na ufisadi wa kutisha kama hii ya DJ na mjomba wake
 
Naamini hiyo ni special number za kampeni za maCCM. Siamini kama ni permanently registered number kwa gari husika. Hivyo naamini endapo gari itakamatwa, basi mwenye gari ataonyesha namba yake yenye usajili wa kudumu. Naamini kwamba gari hizo zinatembea na namba zao za usajili wa kudumu pia.
Siyo kosa kisheria..!? Unakuwaje na namba zaidi ya moja kwa gari moja..!?
 
Sijakuelewa mkuu. Kuweka namba hio hio kwenye gari ina usalama gani maanake hata moja ikipiga tukio haitajulikana?
Hapa siyo mahala pa kujadili masuala ya usalama na hasa wa Rais...
 
Naamini hiyo ni special number za kampeni za maCCM. Siamini kama ni permanently registered number kwa gari husika. Hivyo naamini endapo gari itakamatwa, basi mwenye gari ataonyesha namba yake yenye usajili wa kudumu. Naamini kwamba gari hizo zinatembea na namba zao za usajili wa kudumu pia.
Asiposimama? Kawaida asiposimama watu wanakariri namba tu ila ukikariri namba hii watakamata gari ipi?
 
Kila siku tunapiga kelele kuhusu Serikali hii na CCM yake wanafanya mambo ya kipuuzi yaliyo kinyume cha Sheria lakini hakuna hatua inayochukuliwa. Imagine hayo magari yangekuwa yameandikwa Lissu au Rungwe unadhani yangeruhusiwa kupita Barabarani?
Yapo yaliyoandikwa PLATINUMZ pia.Hata wewe unaweza.
 
Kuna Bus moja lilikwa linaendeshwa na Mjinga mmoja limebadikwa picha za Iddi Azzwani... Magomeni kapaki barabarani afu akawa anagoma kusogea kisa Bus la Uchaguzi nilimpigia Honi anagoma nilishuka kwa nia ya kwenda kumzaba makofi bahati akasogea hivi ni kichaa hawa jamaa wanapatwa kujiona wao ndio wenye nchi au ni ungese tu unawasumbua... nilitizama namba za Gari hilo Coaster limeandikwa T 2020 JPM... mtu anaweza kosesha mgombea wake kura kwa mamba ya kifwala...
 
Back
Top Bottom