Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Wanabodi,
Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule nyingi nilizopitia, nimeshangazwa kukuta Div I, Div II, na Div III ni chache sana!, kule zimejazana zaidi Div IV na Zero kiasi kwamba kuna baadhi ya shule, shule nzima imepata Div 0!, hii inakuwaje?!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Watanzania Visiwani?.

Set up ya baadhi ya taasisi za muungano, zinalazimisha kwenye top management, kama ni bara, deputy, lazima atoke Zanzibar!, moja ya taasisi hizi ni BOT, Gavana akitoka bara, Deputy lazima atoke Zanzibar!, lakini kwa miaka mingi, ile nafasi ilikaa wazi kwa kisingizio kuwa hakukuwa na Mzanzibar mwenye sifa, nilipouliza sifa gani, nikaelezwa lazima awe mchumi aliobobea kwa uzoefu usiopungua miaka 10!. Mimi nilidhani ni visingizio tuu, lakini kama matokeo ya wenzetu hawa ndio haya, na Tanzania ni nchi ya muungano, linapokuja suala la recruitment professionals wa muungano, itakuwaje?!.

Nimebahatika kusoma na kijana mmoja wa Kizanzibari pale UD, ile tumeingia tuu mwaka wa kwanza, kwa fedha za boom, alioa mke wa kwanza, mwaka wa pili akaoa mke wa pili!, mwaka wa tatu akaoa mke wa tatu!, tulipomaliza mwaka wa 4, alisema anakwenda kukamilisha idadi ya mwisho 4, ila kiukweli jamaa alikuwa fit sana upstairs, bado sipati jibu, ikiwa ni kweli Zanzibar ina Div I, Div II, na Div III, chache, hii itakuwa imekaaje kimuungano!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Visiwani?!.

Ikithibitika ni makosa ya utungaji mitihani ambayo "sio", usahihisaji au upangaji matokeo, then yule mama wa NECTA, atakuwa hana jinsi, lazima awajibike akitanguliwa na waziri wake!.
Pasco.

Kama baba unaandika ----- huu , kweli ulitegemea wanao wafaulu?
 
Wewe jamaa una uliza au unatoa tathm
ini ya uchunguzi wako.Ficha upumbavu wako kuwa specific kwa kile unachokidhamiria
 
kwani zina tolewa kama! halwa?.....
vitu vingine sio vya kuliza una jionea mwenyewe hali halisi
 
Mkuu hapa hakuna haja ya kuchambua mkoa wala Nchi wala wilaya, Zanzibar ni sehemu tu ya nchi yetu, na wao wako kwenye mkumbo wa matokeo mabovu kabisa ya mwaka huu.
 
Mkuu Simple Mind, asante kwa utambuzi wa shule hizi, nimezitembelea na kushuhudia hadi Div 1. Hivyo nitarekebisha headline na 1st post.
Pasco.
Pasco wakati huu vijana wengi wa Kizenji wanasumbuliwa sana na JUSSA anawashawishi sana na kundi lake la UAMSHO.Hawatuli kusoma vizuri.
 
Last edited by a moderator:
Elimu ahera, acha kuwabugudhi watu wa ahera!

urojo umefanya kazi yake

Sababu ya kula nyama zilizochinjwa kwa imani za kikafara.
Hata huku bara cheki Temeke Muslimu ni zero tupu.

kwani zina tolewa kama! halwa?.....
vitu vingine sio vya kuliza una jionea mwenyewe hali halisi

Nyie wachangiaji hapo juu, tuache kwanza utani, turudi kwenye hoja za Pasco.

:focus:


Kuna hoja zangu hapo juu Pasco hataki kujibu, badala yake anatoa conclusions za kumwandama Ndalichako. Mazingira ya shule za Zanzibar yakoje? Msisitizo wa elimu kwa vijana ukoje? Kama syllabus inayotumika Zenji ni hiyo hiyo inayotumika Singida na Tukuyu, kwa nini ufaulu uwe wa juu Singida na Tukuyu na si Jambiani ama Wete? Tujadili hilo. Nawasilisha.
 
Mkuu Kyenju, mimi ni mhanga wa matokeo hayo, vijana wangu wawili, waliniahidi kupiga wani, lakini wote wawili wamekosa wani!.

Kwa mnaokumbuka sakata la huyu Mama la matokeo ya mwaka jana!, ili kuwakomoa wale waliomshutumu, akaamua watunge mtihani ambao "sio" na katika usahihishaji, wakakaba mpaka kona kwa kubana hadi pumzi isipite ili washutumu wake, wakomoleke!, hivyo matokeo yake ndio haya, japo "jamaa zetu" wale wamekomoleka kisawasawa, nasi wenetu wamekubwa na mkumbo wa komoa komoa hiyo hivyo kujikuta tumeathirika, ndio maana mimi naendelea kulia na huyu mama!.
NB. Sio vendata, ni lamentations tuu!.
Pasco.

Mtihani ulikuwa standard kabisa
 
Mkuu Kyenju, mimi ni mhanga wa matokeo hayo, vijana wangu wawili, waliniahidi kupiga wani, lakini wote wawili wamekosa wani!.

Kwa mnaokumbuka sakata la huyu Mama la matokeo ya mwaka jana!, ili kuwakomoa wale waliomshutumu, akaamua watunge mtihani ambao "sio" na katika usahihishaji, wakakaba mpaka kona kwa kubana hadi pumzi isipite ili washutumu wake, wakomoleke!, hivyo matokeo yake ndio haya, japo "jamaa zetu" wale wamekomoleka kisawasawa, nasi wenetu wamekubwa na mkumbo wa komoa komoa hiyo hivyo kujikuta tumeathirika, ndio maana mimi naendelea kulia na huyu mama!.
NB. Sio vendata, ni lamentations tuu!.
Pasco.

Mkuu Pasco umenifanya nicheke si kwa furaha bali kwa hoja zako tuu...
Wewe ulitataka hayo madudu waloandika wanao wapewe marks???
Katika hili la kufeli hupaswi kumlaumu huyo mama wa Necta hata kidogo....yeye ametunga mitihani kwa kufata kile wanachotakiwa kufundishwa wanafunzi kwa miaka4, na anatoa matokeo sahihi kabisa kwa kile mwanao alichojibu.
Nenda kafanye utafiti ujue kama kweli wanao walikua na mazingira mazuri, walimu wenye viwango na wa kutosha, vitabu vya walimu na wanafunzi, maabara na ujihoji kiundani kama na wewe ulitimiza wajibu wako (kama mzazi)!!! Ukishamaliza utafiti mpelekee kawambwa na mulugo hayo majibu na uwaambie watoto wao wanatakiwa kusoma kwenye hizi shule ili waone adha inayotukuta!
 
Nadhani Pasco kuna unalotaka kulipika hapa. Hali ni mbaya kwa nchi nzima. Ikiwa matokeo mazima yalikuwa na Div 1 alfu na kitu na ukaangalia ratio ya Watanganyika na Wazanzibari (43,000,000:1,500,000), basi usinge andika hiki ulicho andika.

Mimi nadhani sasa ni wakati Zanzibar ikawa na baraza lake la mitihani vile Elimu sio suala la muungano.
 
Pasco naanza kuwa na mashaka na wewe pengine wewe siyo Pasco yule ninayemfahamu (mwandishi).

Watoto wako wamekosa one kwasababu ya uzembe wao mbona wengine wamepata one.
 
Huwa wanawaita watu wa bara machogo lakini naona chogo limeongeza sehemu fulani ya ubongo na hivyo kuongeza uwezo wa kufikiri
 
Wazanzibari wengi ni Mambulula. Kazi yao ni kushinda kucheza bao na kula tende na halua kutoka Oman.Afu wakifeli wanamsingizia Dk. Ndalichako!!!
 
Wanabodi,
Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule nyingi nilizopitia, nimeshangazwa kukuta Div I, Div II, na Div III ni chache sana!, kule zimejazana zaidi Div IV na Zero kiasi kwamba kuna baadhi ya shule, shule nzima imepata Div 0!, hii inakuwaje?!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Watanzania Visiwani?.

Set up ya baadhi ya taasisi za muungano, zinalazimisha kwenye top management, kama ni bara, deputy, lazima atoke Zanzibar!, moja ya taasisi hizi ni BOT, Gavana akitoka bara, Deputy lazima atoke Zanzibar!, lakini kwa miaka mingi, ile nafasi ilikaa wazi kwa kisingizio kuwa hakukuwa na Mzanzibar mwenye sifa, nilipouliza sifa gani, nikaelezwa lazima awe mchumi aliobobea kwa uzoefu usiopungua miaka 10!. Mimi nilidhani ni visingizio tuu, lakini kama matokeo ya wenzetu hawa ndio haya, na Tanzania ni nchi ya muungano, linapokuja suala la recruitment professionals wa muungano, itakuwaje?!.

Nimebahatika kusoma na kijana mmoja wa Kizanzibari pale UD, ile tumeingia tuu mwaka wa kwanza, kwa fedha za boom, alioa mke wa kwanza, mwaka wa pili akaoa mke wa pili!, mwaka wa tatu akaoa mke wa tatu!, tulipomaliza mwaka wa 4, alisema anakwenda kukamilisha idadi ya mwisho 4, ila kiukweli jamaa alikuwa fit sana upstairs, bado sipati jibu, ikiwa ni kweli Zanzibar ina Div I, Div II, na Div III, chache, hii itakuwa imekaaje kimuungano!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Visiwani?!.

Ikithibitika ni makosa ya utungaji mitihani ambayo "sio", usahihisaji au upangaji matokeo, then yule mama wa NECTA, atakuwa hana jinsi, lazima awajibike akitanguliwa na waziri wake!.
Pasco.

Mkuu Pasco hakuna kitu kama mzanzibari hana akili kama mbara. Watoto wote wanazaliwa na akili sawa sawa according to psychologists, however maendeleo yao yanaathiriwa sana na mazingira wanayokulia. Sababu za kufeli watoto wetu wengi mwaka huu, pamoja na kwamba watu hawataki kukubali ni kuwa zile leakages za mitihani miaka ya nyuma zimezibwa almost zero. Mkuu utakumbuka siku za nyuma tuition zilishamiri sana na walimu waliokuwa wanazifanya walifanya juu chini kuhakikisha kuwa wanafunzi kwenye "tuition" hizo wanafaulu kwa ushirikiano na wakuu wa shule husika pamoja na sisi wazazi ili iwaletee sifa kwamba wao ni walimu "majembe". Hali hiyo ilileta athari zifuatazo, walimu wakawa hawafundishi ipasavyo wakitegemea mbinu hizo. Kazi kubwa aliyofanya Dr. Ndalichako pale baraza ni kuziba mwanya huu ambao hadi leo unampa matatizo kwa kuwa waathirika walikuwa wakipata mamilioni. Mkuu unakumbuka hata baadhi ya wabunge walipeleka hoja bungeni ang'olewe. Ukweli unabaki pale pale kuw ukiona kwenye shule ya mwanao au shule ye yote ile kuna DIV I angalau moja then tatizo si walimu ni wanafunzi wenyewe, maybe kama shule yote ina DIV 0, then hapo kuna tatizo la msingi ambalo ni vema kutafuta chanzo chake.
 
Wanabodi,
Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule nyingi nilizopitia, nimeshangazwa kukuta Div I, Div II, na Div III ni chache sana!, kule zimejazana zaidi Div IV na Zero kiasi kwamba kuna baadhi ya shule, shule nzima imepata Div 0!, hii inakuwaje?!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Watanzania Visiwani?.

Set up ya baadhi ya taasisi za muungano, zinalazimisha kwenye top management, kama ni bara, deputy, lazima atoke Zanzibar!, moja ya taasisi hizi ni BOT, Gavana akitoka bara, Deputy lazima atoke Zanzibar!, lakini kwa miaka mingi, ile nafasi ilikaa wazi kwa kisingizio kuwa hakukuwa na Mzanzibar mwenye sifa, nilipouliza sifa gani, nikaelezwa lazima awe mchumi aliobobea kwa uzoefu usiopungua miaka 10!. Mimi nilidhani ni visingizio tuu, lakini kama matokeo ya wenzetu hawa ndio haya, na Tanzania ni nchi ya muungano, linapokuja suala la recruitment professionals wa muungano, itakuwaje?!.

Nimebahatika kusoma na kijana mmoja wa Kizanzibari pale UD, ile tumeingia tuu mwaka wa kwanza, kwa fedha za boom, alioa mke wa kwanza, mwaka wa pili akaoa mke wa pili!, mwaka wa tatu akaoa mke wa tatu!, tulipomaliza mwaka wa 4, alisema anakwenda kukamilisha idadi ya mwisho 4, ila kiukweli jamaa alikuwa fit sana upstairs, bado sipati jibu, ikiwa ni kweli Zanzibar ina Div I, Div II, na Div III, chache, hii itakuwa imekaaje kimuungano!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Visiwani?!.

Ikithibitika ni makosa ya utungaji mitihani ambayo "sio", usahihisaji au upangaji matokeo, then yule mama wa NECTA, atakuwa hana jinsi, lazima awajibike akitanguliwa na waziri wake!.
Pasco.
Jee kuna uwezekano matokeo mabaya ya Zanzibar na shule za dini fulani yanahusiana na imfluence ya dini hiyo kwenye akili za waumini?!, au ni imfluence ya Waarabu?!.

Pasco
 
Back
Top Bottom