Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Pasco kwa hiyo unataka kutuaminisha kuwa wa zanzibar wana onewa? Wanabaguliwa? Wana nyanyaswa?
Leo hii matokeo mabovu unayo yaona yametoka na serikali yako na ndiyo ya kubeba lawama!

Hivi kama wanafunzi wanao jiunga na form one wana pelekwa wakiwa na maksi chini ya mia(100) kati ya miambili hamsini na bado unategemea miujiza ya ufahulu?

Serikali yako haikutosheka ikaona ifute mtihani wa form two ambao ulikuwa kipimo kizuri cha wanafunzi, nia yao kupata sifa kisiasa kuwa wamefanikiwa kusomesha wanafunzi wengi na walio maliza kidato cha nne.

Serikali yako hikasahau kupeleka vitabu mashuleni, walimu wa kutosha hakuna, shule hazina maabara alaf unategemea miujiza ya kufaulu!

Serikali yako imekataa kusikiliza vilio vya walimu kuboresha mazingira ya kufundishia, walimu wamekuwa kama watumwa alaf unategemea wafundishe kwa moyo wakati wana njaa?

Kwa nini tumsingizie Ndalichako makosa ya serikali yako? Necta hawapati faida yeyote kumflisha mtu, watoto wamevuna walicho pandiwa na serikali yako!

Pasco haya ni matokeo ya elimu kuchanganywa na siasa sasa bomu limelipuka tuna msingizia Ndalichako na necta!
Ccm walikuwa wamejenga hizi shule za kata kutafuta umaarufu kisiasa wala si kuboresha elimu ndio maana walikuwa wana tafuta kila njia wanafunzi wamalize kidato channe bila kujali watamaliza vipi ndio maana walishusha marks za kujiunga kidato cha kwanza na kuondoa mtihani wa kidato cha pili, wameshituka wakati kumekucha na wamesha tengeza zero zaidi ya miambili elfu.

Pasco kufail kwa wanao au kutopata marks za kulizisha wala si sababu za kuonewa na necta, nani anajua walikuwa na hali gani kwenye chumba cha mtihani? Tuache visingizio kabisa!

Najua tume ya waziri mkuu inataka kuhalalisha kumuondoa ndalichako kwa makosa ya serikali maana hakuna jipya kwenye tume hiyo zaidi ya kutaka kuonesha umma kuwa wanafunzi wameonewa na necta wakati tunajua serikali ni chanzo na ni kawamba na mlugo ndio walitakiwa kuwajibika!

Serikali ya ccm imeshindwa kwenye mradi wao washule za kata sasa wanaona wamtafute mchawi na kutaka kuwadanganya wanchi kuwa watoto hawakupata zero kupiti hiyo tume ya"janjajanja".

Ni wazi sababu za kumfukuza ndalichako zinatafutwa ili kutimiza matakwa ya kina " Pasco"
Very well said..it's about time tuache kutupa lawama na kuangalia where we stand and what is wrong maana huyu mama anajaribu kila awezalo kufanya elimu irudi katika kiwango chake cha zamani na sio matatizo of what we call elimu ya sasa hivi...Keep it up Dr Ndakichako
 
Kipaumbele kimezingatiwa,, Bara wao wako bise na Elimu Dunia,, kule Visiwani wapo bise na maandalizi ya Elimu Akhera,,

Huku bara watoto jioni wanaenda Tuition kule jioni watoto wanaenda Madrasa,

Kama unataka ujue ukali wa Elimu ya huko shindanisha hizo Div. Kwenye masomo ya Quran uone kama bara watafua,dafu kwa visiwani,,
 
Kipaumbele kimezingatiwa,, Bara wao wako bise na Elimu Dunia,, kule Visiwani wapo bise na maandalizi ya Elimu Akhera,,

Huku bara watoto jioni wanaenda Tuition kule jioni watoto wanaenda Madrasa,

Kama unataka ujue ukali wa Elimu ya huko shindanisha hizo Div. Kwenye masomo ya Quran uone kama bara watafua,dafu kwa visiwani,,
Azania nao wanakwenda madrasa?mbona wapo mkiani
 
Eeee? Kuna nn zenji! Ila wafeli tu,tukitaka kuoa kwao vizingiti kibao na hata uwe na elimu kubwa ya dini mtanganyika bado unaonekana hujasoma kwao na usishangae ukaitwa kafir.
 
Wanabodi,
Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule nyingi nilizopitia, nimeshangazwa kukuta Div I, Div II, na Div III ni chache sana!, kule zimejazana zaidi Div IV na Zero kiasi kwamba kuna baadhi ya shule, shule nzima imepata Div 0!, hii inakuwaje?!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Watanzania Visiwani?.

Set up ya baadhi ya taasisi za muungano, zinalazimisha kwenye top management, kama ni bara, deputy, lazima atoke Zanzibar!, moja ya taasisi hizi ni BOT, Gavana akitoka bara, Deputy lazima atoke Zanzibar!, lakini kwa miaka mingi, ile nafasi ilikaa wazi kwa kisingizio kuwa hakukuwa na Mzanzibar mwenye sifa, nilipouliza sifa gani, nikaelezwa lazima awe mchumi aliobobea kwa uzoefu usiopungua miaka 10!. Mimi nilidhani ni visingizio tuu, lakini kama matokeo ya wenzetu hawa ndio haya, na Tanzania ni nchi ya muungano, linapokuja suala la recruitment professionals wa muungano, itakuwaje?!.

Nimebahatika kusoma na kijana mmoja wa Kizanzibari pale UD, ile tumeingia tuu mwaka wa kwanza, kwa fedha za boom, alioa mke wa kwanza, mwaka wa pili akaoa mke wa pili!, mwaka wa tatu akaoa mke wa tatu!, tulipomaliza mwaka wa 4, alisema anakwenda kukamilisha idadi ya mwisho 4, ila kiukweli jamaa alikuwa fit sana upstairs, bado sipati jibu, ikiwa ni kweli Zanzibar ina Div I, Div II, na Div III, chache, hii itakuwa imekaaje kimuungano!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Visiwani?!.

Ikithibitika ni makosa ya utungaji mitihani ambayo "sio", usahihisaji au upangaji matokeo, then yule mama wa NECTA, atakuwa hana jinsi, lazima awajibike akitanguliwa na waziri wake!.
Pasco.
Mkuu, wachawi ni wazanzibari wenyewe. Msingi wa elimu ambao ni shule ya msingi wao hutilia mkazo madrasa, watapinga ila ndo ukweli. Hii huwaathiri mpaka form four, form six na vyuoni.
 
Mimi nafikiri hiyo inasababishwa na attitude zao kuhusu elimu - sioni kama suala hilo utilia maanani sana, mbona Wapemba ujitahidi sana kwenye masomo na biashara.
 
Yakheee wale hawahisumbui na Ellim dunia maana haina tija kwao.
Ellim Akhera ndo habari ya mjini.
 
wananchi wakiwa hawana raha na nchi yao kwa kutawaliwa bila ya ridhaa yao inaweza kuwa moja ya sababu. Kwani walimu hawana imani na serikali hivyo wanaenda kupiga tick tu kazini
pia inawezekana wanafunzi hawa wa form 6 ni wakubwa na wengi ni wapiga kura hivyo wameathirika na ubamizaji wa democrasia kwa nchi kuendeshwa tena na watu walo wakataa na waso na dira ya elimu.
pia inawezekana ni dira ya ccm....ukisomesha wengi watakupinga kwani wasomi hawaivi hata siku moja na misimamo ya ccm kwenye muungano na znz yenyewe.
pia inawezekana mfumo mzima wa elimu umepitwa na wakati na walimu hawana uwezo wa kufundisha mfumo mpya wa NECTA
Pia inawezekana walimu wanalipwa kiduchu mno..
Ama kuhusu akili ya kusoma...hilo sio kweli..znz kuna vijana wenye akili sana. ...Mimi sijasoma UD lakini nilikuwapo IFM miaka ya 80s ambapo tulikua bora zaidi ya UD. Mfano wanafunzi wa IFM wa Accounts tulikua ni wepesi kufaulu NBAA kuliko wale wa UD.
hapo IFM tulikua Kutoka Znz 4 darasa moja na Tulichuka na Nafasi zote nne za Kwanza. Pia best Student wa Account alikua Mznz Ambae IFM walimkubali na kumuomba baki pale wakamsomesha zaidi na sasa ni Dr Bakari...Pia mwengine Ni Dr Mohammed ambae sasa ndie head wa Graduate Department IMF.
Hivyo akili wanazo kama wayahudi hasa wale wa Pemba..ila kuna mambo ambayo yanasababisha haya matokeo mabaya
 
Kama kuna mtu ametazama matokeo ya Zanzibar naomba anijulishe kama this time kuna Div 1, II, na III, maana nilipopandisha bandiko hili, matokeo ya mwaka huo, Zanzibar kulikuwa hakuna Div, 1, II wala III, kulikuwa na IV tuu na 0 ndio nyingi Zaidi!.

P.
 
Wanabodi,
Nimekuwa nikipitia matokeo ya form four kwa baadhi ya shule za Zanzibar, kwa shule nyingi nilizopitia, nimeshangazwa kukuta Div I, Div II, na Div III ni chache sana!, kule zimejazana zaidi Div IV na Zero kiasi kwamba kuna baadhi ya shule, shule nzima imepata Div 0!, hii inakuwaje?!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Watanzania Visiwani?.

Set up ya baadhi ya taasisi za muungano, zinalazimisha kwenye top management, kama ni bara, deputy, lazima atoke Zanzibar!, moja ya taasisi hizi ni BOT, Gavana akitoka bara, Deputy lazima atoke Zanzibar!, lakini kwa miaka mingi, ile nafasi ilikaa wazi kwa kisingizio kuwa hakukuwa na Mzanzibar mwenye sifa, nilipouliza sifa gani, nikaelezwa lazima awe mchumi aliobobea kwa uzoefu usiopungua miaka 10!. Mimi nilidhani ni visingizio tuu, lakini kama matokeo ya wenzetu hawa ndio haya, na Tanzania ni nchi ya muungano, linapokuja suala la recruitment professionals wa muungano, itakuwaje?!.

Nimebahatika kusoma na kijana mmoja wa Kizanzibari pale UD, ile tumeingia tuu mwaka wa kwanza, kwa fedha za boom, alioa mke wa kwanza, mwaka wa pili akaoa mke wa pili!, mwaka wa tatu akaoa mke wa tatu!, tulipomaliza mwaka wa 4, alisema anakwenda kukamilisha idadi ya mwisho 4, ila kiukweli jamaa alikuwa fit sana upstairs, bado sipati jibu, ikiwa ni kweli Zanzibar ina Div I, Div II, na Div III, chache, hii itakuwa imekaaje kimuungano!. Jee kuna uwezekano kuna tofauti ya akili kati ya Watanzania Bara na Visiwani?!.

Ikithibitika ni makosa ya usahihishaji kwa upangaji matokeo, then yule mama wa NECTA, atakuwa hana jinsi, lazima awajibike akitanguliwa na waziri wake!.
Pasco.
Nimeanza kupata majibu ya swali hili Mwaliko wa Rais wa Tanzania Vatican
P
 
Back
Top Bottom