Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Dada yake Le mutuzMange. Ndo Nani kwani
Mmmh tangu hajakutana na baba kenzo analo kaolewa kazaa kapewa talaka kapata muzungu mpya analo tu kuna haja ya kupitisha mchango!!!Nakumbuka alisema atalivaa mwaka mzima mpaka hapo mtakapoacha kuongea.
Teh teh..Kumbe kitambo hivyo..Basi itakuwa ni tofauti tofautiMmmh tangu hajakutana na baba kenzo analo kaolewa kazaa kapewa talaka kapata muzungu mpya analo tu kuna haja ya kupitisha mchango!!!
Dada yake Le mutuz
Tena akilivaa mwenyewe anajiona kama kabeba dunia,kumbe sura inavyoonekana kama kondoo wa Sufi kule Australia.Dada wa taifa, celebrity wa dunia kila habari ya hii dunia lazma anaijua, mamaa muzungu page yake naipitia pitia sana kwakua nami ni mdau wa ubuyu, ila nimejikuta nashtuka kuona tangu enzi na enzi ana wig moja, au ni mengi yenye style moja, au anayo mengi ila anapenda hilo, inawezekanaje star mkubwa hivi awe na kiwig chenye mwonekano kama helmet miaka rudi miaka nenda?
Nimeuliza tu sio kwa ubaya, najua team da mange mmejaa hapa msijekunivagaa kama nyuki, niko chini ya miguu yenu sina nia mbaya nimeuliza tu jamani( ahsanteni kwa kuwa waelewa)
View attachment 1042224View attachment 1042226
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dada yake Le mutuz