Uchaguzi 2020 Inawezekanaje miundo mbinu iliyojengwa na pesa za watanzania wote, ionekane kuwa imejengwa na CCM pekee?

Naona watu wanafunguka taratibu na wanaanza kuujua ukweli wa mambo kwamba propaganda za ccm zilikuwa zimetawala na ukweli ni kwamba hakuna jipya lililofanywa na ccm tangu 2015 ambalo hasingefanya rais mwingine yeyote kutoka vyama vya upinzani tena kwa ubora zaidi.
 
CCM mjifunze kujenga hoja na sio kufanya mambo kwa jazba kama mwenyekiti wenu.
Tatizo ni kukosa mme ndio maana unakuwa na hoja za kipuuzi. Ina maana hujui nini maana ya chama tawala?
 
Mleta mada jiulize kwanini unapata huduma mbovu hospitari unaenda kumlaumu raisi? Mtaani kwenu mvua zimeharibu miundombinu nawewe unaangalia huchukui hata mda kurekebisha.unaisubili serikali
 
Tatizo ni kukosa mme ndio maana unakuwa na hoja za kipuuzi. Ina maana hujui nini maana ya chama tawala?
Maana ya chama tawala si kuzungumzia yaliyopita kwani hayo ni madogo kuliko aliyoyafanya mkoloni. Mkoloni alipoingia alitukuta hatuna barabara, reli, ndege, hosipitali, shule na kadhalika. Tulimuondoa na hakupiga porojo ya alivyovijenga kwani alijua alijenga kwa kutumia raslimali za wananchi na yeye skiwa msimamizi tu, aliondoka bila kudai aongezewe miaka mingine.
 
Mleta mada jiulize kwanini unapata huduma mbovu hospitari unaenda kumlaumu raisi? Mtaani kwenu mvua zimeharibu miundombinu nawewe unaangalia huchukui hata mda kurekebisha.unaisubili serikali
Tumeikabidhi serikali pesa zetu izitumie kwenye matatizo yatakayotukabili.
 
Mtu mpumbavu hudhani upumbavu ni ushajaa. Mtu mwenye akili timamu huwezi kumsifia mkoloni kisa alijenga shule. Huna tofauti na binti anayepigwa mimba kisa ananunuliwa chips.
 
Mtu mpumbavu hudhani upumbavu ni ushajaa. Mtu mwenye akili timamu huwezi kumsifia mkoloni kisa alijenga shule. Huna tofauti na binti anayepigwa mimba kisa ananunuliwa chips.
mbona hoja zako za matusi ndugu , mjibu mtu kwa hoja kama alivyokujibu , hakuna hasiyejua kutukana lakini kutukana inaonesha jinsi mtu alivyo katika upeo wake .
 
mbona hoja zako za matusi ndugu , mjibu mtu kwa hoja kama alivyokujibu , hakuna hasiyejua kutukana lakini kutukana inaonesha jinsi mtu alivyo katika upeo wake .
Upumbavu ni hali ya kutotumia common sense kug'amua kitu sahihi.
Mtu mwenye akili timamu huwezi kumsifia mkoloni aliyejenga reli ili ainyonye nchi yako.
 
Upumbavu ni hali ya kutotumia common sense kug'amua kitu sahihi.
Mtu mwenye akili timamu huwezi kumsifia mkoloni aliyejenga reli ili ainyonye nchi yako.

sasa mjibu mwenzako kwa hoja hakuna sababu ya kumwita mtu mpumbavu au mjinga , hatuna sababu ya kutoa tafsiri ya neno mjinga au mpumbavu tubishane kwa mitazamo na si maneno yasiopendeza
 
sasa mjibu mwenzako kwa hoja hakuna sababu ya kumwita mtu mpumbavu au mjinga , hatuna sababu ya kutoa tafsiri ya neno mjinga au mpumbavu tubishane kwa mitazamo na si maneno yasiopendeza
Upumbavu ni tusi?
 
lebabu11
Tunachoona hakijakaa sawa, ni kwa huyu Rais tuliyenaye kujiona kuwa apewe sifa yeye pekee, kwa kutengeneza miundo mbinu hiyo, wakati ni kodi za wananchi wote, bila kujali itikadi zetu za kisiasa, ndiyo tuliotengeneza miundo mbinu hiyo

Kilichopo ni matokeo ya ujinga wa wananchi, siasa za ghiliba na udanganyifu wa wapambe.
Hata hivyo, inahitajika elimu na uelewa kwamba maendeleo yote katika nchi, hufanywa na wananchi wenyewe. Viongozi wamepewa dhamana tu ya kuonesha njia na wanaweza kuondolewa wakati wowote, na maendeleo yatakuwepo ila kwa kasi tofauti (kubwa zaidi au ndogo).
 
pong
pongezi zinakwenda kwa serikali na sio kwa mtu binafsi. mara nyingi tumemsikia akijidai kuwa ametoa hela kujenga mabarabara, ndege nk. hizi kauli zake sio kabisa
 
Magufuli anapenda sifa mno ambazo hata hastahili
 

Kasome vizuri historia ya China. Mao ndiye aliyeirudisha nyuma kwa kung’ang’ania itikadi ya kikomunisti ya dola kumiliki nguzo kuu za uchumi na yeye kutukuzwa kwa kila jambo. Yeye ndiye anajenga barabara, reli, madaraja. Operesheni kubwa kama za moyo, ubongo zinafanyika kwa maelekezo yake! Na ujinga mwingi wa aina hiyo.

Mkombozi mkuu aliyeharakisha maendeleo ya kisasa China ni Deng Xiaoping. Huyu ndiye aliyeleta mageuzi makuu ya kiuchumi na kuondoa ukiritimba wa dola na watawala. Bila huyo usingesikia huawei, techno, xiaomi, alibaba, ccecc, nk. Ingekuwa kama North Korea ambako kutwa kucha TV inaimba sifa za kiongozi mpendwa! China walishatoka huko. Sasa wanaendesha udikteta wenye akili zaidi.
 
Kawaida yao hio hata viwanja vya mipira nchini vilijengwa na wananchi wote lkn vikabinafsishwa kwa CCM,utasikia tu Ccm kirumba.
 
Hamueleweki nyie juzi hapa mmeanzisha nyuzi lukuki mkimsifia JK na mkapa kwa maendeleo waliyoyafanya hamkukumbuka ni kodi zenu?
Hao madamis ata usihangaike nao wako na hasara kubwa na wanatia hasara nyingi kwenye taifa hili la JMT.
Magufuli na CCM yake ndio wamepewa ridhaa ya kukusanya kodi na kusimamia rasili mali zetu nyie makapuku kauzeni chai na mkileta ubishi tunawatundu lissu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…