Inawezekanaje mtu anataka kuwa mchepuko!

Inawezekanaje mtu anataka kuwa mchepuko!

Patriot3

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2022
Posts
336
Reaction score
553
Hii inawezekanaje Dada zangu?

Majuzi Dada mmoja kaniomba namba. Baada ya kumpa akaanza texts. Mwishowe akauliza kama nina gf. Pamoja na kwamba sina nikasema ndio maana sikutaka mambo mengi.

Naye akasema ananitaka. Nikamwabia haiwezekani maana nina mahusiano. Cha kushangaza eti aniambia eti niwe mchepuko wake. Nikamwambia si nitakuwa namcheat mwenzangu. Eti usijali sina madhara. Anyway nilishangaa kusikia mtu anachagua kuwa mchepuko.
 
Hii inawwzekanaje Dada zangu?

Majuzi Dada mmoja kaniomba namba. Baada ya kumpa akaanza texts. Mwishowe akauliza kama nina gf. Pamoja na kwamba sina nikasema ndio maana sikutaka mambo mengi.

Naye akasema ananitaka. Nikamwabia haiwezekani maana nina mahusiano.
Cha kushangaza eti aniambia eti niwe mchepuko wake. Nikamwambia si nitakuwa namcheat mwenzangu. Eti usijali sina madhara. Anyway nilashangaa kusikia mtu anachagua kuwa mchepuko.
Kwa hiyo hautaki kutakwa.
 
Hii inawezekanaje Dada zangu?

Majuzi Dada mmoja kaniomba namba. Baada ya kumpa akaanza texts. Mwishowe akauliza kama nina gf. Pamoja na kwamba sina nikasema ndio maana sikutaka mambo mengi.

Naye akasema ananitaka. Nikamwabia haiwezekani maana nina mahusiano. Cha kushangaza eti aniambia eti niwe mchepuko wake. Nikamwambia si nitakuwa namcheat mwenzangu. Eti usijali sina madhara. Anyway nilishangaa kusikia mtu anachagua kuwa mchepuko.


Usishangae sana ila muelewe
Kuna mawili hapo
1. Kuna kitu anataka kuchukua kwako
2. Kuna kitu amekuletea akuache uhangaike macho

Ulale unono
 
Wewe utakuwa mgen wa mapenzi ama sivyo wew ndio wale vijana wa kisabato na kilokole mnaoshindia sale za kadeti na mashati ya vitenge pia muimba kwaya wa vijana-B.

Ama vip wewe utakuwa mtoto bado huyajui mapenzi, kwan suala la kuwa mchepuko nalo ni jipya? Nauhakika huyo mpenz wako sjui demu wako anawashikaji zaid ya4 na yupo ambae anampenda kulko wew, fuatilia hili uone kama hujaja hapa kulialia ukiomba ushauri.

DeepPond mpe mrejesho huyu kijana mzembe
 
Wewe utakuwa mgen wa mapenzi ama sivyo wew ndio wale vijana wa kisabato na kilokole mnaoshindia sale za kadeti na mashati ya vitenge pia muimba kwaya wa vijana-B.

Ama vip wewe utakuwa mtoto bado huyajui mapenzi, kwan suala la kuwa mchepuko nalo ni jipya? Nauhakika huyo mpenz wako sjui demu wako anawashikaji zaid ya4 na yupo ambae anampenda kulko wew, fuatilia hili uone kama hujaja hapa kulialia ukiomba ushauri.

DeepPond mpe mrejesho huyu kijana mzembe
Itakua anaishi kijijini or else mapenzi sio fani yake
 
Wewe utakuwa mgen wa mapenzi ama sivyo wew ndio wale vijana wa kisabato na kilokole mnaoshindia sale za kadeti na mashati ya vitenge pia muimba kwaya wa vijana-B.

Ama vip wewe utakuwa mtoto bado huyajui mapenzi, kwan suala la kuwa mchepuko nalo ni jipya? Nauhakika huyo mpenz wako sjui demu wako anawashikaji zaid ya4 na yupo ambae anampenda kulko wew, fuatilia hili uone kama hujaja hapa kulialia ukiomba ushauri.

DeepPond mpe mrejesho huyu kijana mzembe
Sina demu mkuu. Mengine uloandika ni imaginations zako which you are free
 
Back
Top Bottom