Inawezekanaje mtu anataka kuwa mchepuko!

Inawezekanaje mtu anataka kuwa mchepuko!

anajua kabisa hauwezi kuwa upo kwenye serious realationship...ndo maana amejiamini hivyo...na hapo kuna kitu anajua atafaidika kutoka kwako sio mjinga huyo...kuwa makini

yangu ni hayo tu[emoji119]
 
Kuna mdada mzuri mzur nilkuwa namuona kila mara ila nikawa nampotezea ingawaje nilipenda alivyo mpole pole sana,niliogopa pia kuongeza majukumu maana wanawake wa sasa wana gharama sana,siku moja tukakutana mahala fulani pazuri nikampanga akapangika

Nilivyoachana nae nikaanza kuwaza kwanini nimemtongoza maana nimejiletea shida tena za kuombwa ombwa vihela,kuna siku akaniuliza kwenye simu kama nina mke,nilkubali ili anikatae lakin ajabu hakusema hawez kuwa na mimi,hvyo amekuwa mchepuko na yuko na adabu sana,nikiwa kwa mke wangu hanitafuti kabisa na huwa ananisihi sana nimheshimu mke wangu

Ni mwanamke mpambanaji sana,nawaza awe mke wa pili,mimi ni mpagani
Mkuu kama umemwelewa weka Chuma ndani awe mke wa pili,hizi dini achana nazo
 
Usishangae sana ila muelewe
Kuna mawili hapo
1. Kuna kitu anataka kuchukua kwako
2. Kuna kitu amekuletea akuache uhangaike macho

Ulale unono
Mmmmmh. Namba 2. Inaweza kuwa nini? Hicho Kitu.
 
Hii inawezekanaje Dada zangu?

Majuzi Dada mmoja kaniomba namba. Baada ya kumpa akaanza texts. Mwishowe akauliza kama nina gf. Pamoja na kwamba sina nikasema ndio maana sikutaka mambo mengi.

Naye akasema ananitaka. Nikamwabia haiwezekani maana nina mahusiano. Cha kushangaza eti aniambia eti niwe mchepuko wake. Nikamwambia si nitakuwa namcheat mwenzangu. Eti usijali sina madhara. Anyway nilishangaa kusikia mtu anachagua kuwa mchepuko.
Inawezekana hivyo hivyo
 
Penye miti hapana wajenzi.. mtu anakupenda unamchomoleaje, naanzaje kukataa kwa mfano, mie tena maharage ya mbeya.. akisema NAKUPE mie zamaaani nishamalizia NAKUPENDA PIA 🤣
Nimewahi mkimbia mwanamke geto Kwa wiki zima 😆😆😆😆
 
Ivi kumbe kuna shida mwanamke akieleza hisia zake kwa mwanaume anae mpenda?, mbona wanaume wao hutongoza na wanakubaliwa bila tatizo,
Labda tu nikushauri kitu kiongozi kama umesema hauna mwanamke basi hiyo ndio nafasi yako kikubwa tu mkapime mjue afya maisha mengine yaendelee,, ila kabla ya hapo fanya kumchunguza tabia zake akikuridhisha ishi nae,, kwanza atakua amekuepusha na mambo mingi eps kuanza kusotea mamsi ambaye atakua anakula pesa zako bure
 
Hii inawezekanaje Dada zangu?

Majuzi Dada mmoja kaniomba namba. Baada ya kumpa akaanza texts. Mwishowe akauliza kama nina gf. Pamoja na kwamba sina nikasema ndio maana sikutaka mambo mengi.

Naye akasema ananitaka. Nikamwabia haiwezekani maana nina mahusiano. Cha kushangaza eti aniambia eti niwe mchepuko wake. Nikamwambia si nitakuwa namcheat mwenzangu. Eti usijali sina madhara. Anyway nilishangaa kusikia mtu anachagua kuwa mchepuko.
Unampa changudoa namba unadhani wana aibu?
 
Ilikuwaje , simba anamkimbia swala au nungunungu huyo 🤣
Alikuwa hanipi mzuka harafu akajifanya hataki kwenda kwao nikasema naenda job nitarudi baada ya wiki akadhan utani alikula Dola had akasepa mwenyewe
 
hakuna dume linasemaga lina demu mbele ya pisi kali,hilo lako pasi kali
 
Back
Top Bottom