- Thread starter
- #21
Itakua anaishi kijijini or else mapenzi sio fani yake
Kwa goto Wewe ni zoazoa mtoto wa mjiniWewe utakuwa mgen wa mapenzi ama sivyo wew ndio wale vijana wa kisabato na kilokole mnaoshindia sale za kadeti na mashati ya vitenge pia muimba kwaya wa vijana-B.
Ama vip wewe utakuwa mtoto bado huyajui mapenzi, kwan suala la kuwa mchepuko nalo ni jipya? Nauhakika huyo mpenz wako sjui demu wako anawashikaji zaid ya4 na yupo ambae anampenda kulko wew, fuatilia hili uone kama hujaja hapa kulialia ukiomba ushauri.
DeepPond mpe mrejesho huyu kijana mzembe