Itakua anaishi kijijini or else mapenzi sio fani yake
Kwa goto Wewe ni zoazoa mtoto wa mjiniWewe utakuwa mgen wa mapenzi ama sivyo wew ndio wale vijana wa kisabato na kilokole mnaoshindia sale za kadeti na mashati ya vitenge pia muimba kwaya wa vijana-B.
Ama vip wewe utakuwa mtoto bado huyajui mapenzi, kwan suala la kuwa mchepuko nalo ni jipya? Nauhakika huyo mpenz wako sjui demu wako anawashikaji zaid ya4 na yupo ambae anampenda kulko wew, fuatilia hili uone kama hujaja hapa kulialia ukiomba ushauri.
DeepPond mpe mrejesho huyu kijana mzembe
Badili profile picture kwanza😀Mambo Kama hayo mbona hayanikuti Mimi NALIA NGWENA
Hebu tupia hizo namba PM [emoji41]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
😀😀😀😀jamani wanaume ni wachache katika uchache wenu huo kuna mapadre na kuna ma uncle maresh unategemea nini😅
😀😀😀😀jamani wanaume ni wachache katika uchache wenu huo kuna mapadre na kuna ma uncle maresh unategemea nini😅
Mbona wamejaa mtaani😀😀😀😀jamani wanaume ni wachache katika uchache wenu huo kuna mapadre na kuna ma uncle maresh unategemea nini😅
Jichanganye hakunaga demu WA BURE kiasi icho😀😀usije kuturudia unalia Lia hapa,huo ni mtego soon utanaswa.Hii inawezekanaje Dada zangu?
Majuzi Dada mmoja kaniomba namba. Baada ya kumpa akaanza texts. Mwishowe akauliza kama nina gf. Pamoja na kwamba sina nikasema ndio maana sikutaka mambo mengi.
Naye akasema ananitaka. Nikamwabia haiwezekani maana nina mahusiano. Cha kushangaza eti aniambia eti niwe mchepuko wake. Nikamwambia si nitakuwa namcheat mwenzangu. Eti usijali sina madhara. Anyway nilishangaa kusikia mtu anachagua kuwa mchepuko.
KumbeHiyo kawaida. Issue ni kutaka kuwa sidedish
Acha kufananisha kadeti na vitu vya kijinga mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Wewe utakuwa mgen wa mapenzi ama sivyo wew ndio wale vijana wa kisabato na kilokole mnaoshindia sale za kadeti na mashati ya vitenge pia muimba kwaya wa vijana-B.
Ama vip wewe utakuwa mtoto bado huyajui mapenzi, kwan suala la kuwa mchepuko nalo ni jipya? Nauhakika huyo mpenz wako sjui demu wako anawashikaji zaid ya4 na yupo ambae anampenda kulko wew, fuatilia hili uone kama hujaja hapa kulialia ukiomba ushauri.
DeepPond mpe mrejesho huyu kijana mzembe
Ugumu wa maisha is realHii inawezekanaje Dada zangu?
Majuzi Dada mmoja kaniomba namba. Baada ya kumpa akaanza texts. Mwishowe akauliza kama nina gf. Pamoja na kwamba sina nikasema ndio maana sikutaka mambo mengi.
Naye akasema ananitaka. Nikamwabia haiwezekani maana nina mahusiano. Cha kushangaza eti aniambia eti niwe mchepuko wake. Nikamwambia si nitakuwa namcheat mwenzangu. Eti usijali sina madhara. Anyway nilishangaa kusikia mtu anachagua kuwa mchepuko.
Sure. Cha kushangaza wanaume hapa ukimkataa mwanamke ni kama ushamba eti. As if you must eat every meal served.Ugumu wa maisha is real
Ee, kula mzigo mkuu. Mwanaume hakatai mbususu mkuuSure. Cha kushangaza wanaume hapa ukimkataa mwanamke ni kama ushamba eti. As if you must eat every meal served.
Mimi selective mkuuEe, kula mzigo mkuu. Mwanaume hakatai mbususu mkuu
Kimsing huyo ashafanya homeworks zake amegundua upo singo na hizo swaga za kuwa na mpenzi anajua kabisaa unadanganyaHii inawezekanaje Dada zangu?
Majuzi Dada mmoja kaniomba namba. Baada ya kumpa akaanza texts. Mwishowe akauliza kama nina gf. Pamoja na kwamba sina nikasema ndio maana sikutaka mambo mengi.
Naye akasema ananitaka. Nikamwabia haiwezekani maana nina mahusiano. Cha kushangaza eti aniambia eti niwe mchepuko wake. Nikamwambia si nitakuwa namcheat mwenzangu. Eti usijali sina madhara. Anyway nilishangaa kusikia mtu anachagua kuwa mchepuko.