Inawezekanaje mtu anataka kuwa mchepuko!

Itakua anaishi kijijini or else mapenzi sio fani yake

Kwa goto Wewe ni zoazoa mtoto wa mjini
 
😀😀😀😀jamani wanaume ni wachache katika uchache wenu huo kuna mapadre na kuna ma uncle maresh unategemea nini😅

😀😀😀😀jamani wanaume ni wachache katika uchache wenu huo kuna mapadre na kuna ma uncle maresh unategemea nini😅

😀😀😀😀jamani wanaume ni wachache katika uchache wenu huo kuna mapadre na kuna ma uncle maresh unategemea nini😅
Mbona wamejaa mtaani
 
Jichanganye hakunaga demu WA BURE kiasi icho😀😀usije kuturudia unalia Lia hapa,huo ni mtego soon utanaswa.
 
unashauriwa kutumia bange, kukuza akili na kupambanua mambo,
Mambo mengine haya hitaji ushauri.
Ukisha vuta kush, utapata ushauri mzuri wa kufanya binafsi, sio humu Jamii F.


🍁..........kush master...........🍁
 
Acha kufananisha kadeti na vitu vya kijinga mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ugumu wa maisha is real
 
kama amekidhi vigezo vyako 😂 pita nae.... kama sivyo basi..... ila ukipita nae kuwa makini, there might be a catch😂
 
Kuna mdada mzuri mzur nilkuwa namuona kila mara ila nikawa nampotezea ingawaje nilipenda alivyo mpole pole sana,niliogopa pia kuongeza majukumu maana wanawake wa sasa wana gharama sana,siku moja tukakutana mahala fulani pazuri nikampanga akapangika

Nilivyoachana nae nikaanza kuwaza kwanini nimemtongoza maana nimejiletea shida tena za kuombwa ombwa vihela,kuna siku akaniuliza kwenye simu kama nina mke,nilkubali ili anikatae lakin ajabu hakusema hawez kuwa na mimi,hvyo amekuwa mchepuko na yuko na adabu sana,nikiwa kwa mke wangu hanitafuti kabisa na huwa ananisihi sana nimheshimu mke wangu

Ni mwanamke mpambanaji sana,nawaza awe mke wa pili,mimi ni mpagani
 
Kimsing huyo ashafanya homeworks zake amegundua upo singo na hizo swaga za kuwa na mpenzi anajua kabisaa unadanganya

Siku hizi kuna app za kufuatilia mawasiliano ya mtu🤣

Sheikh hapo hutoki maana mwanamke akitaka lake huwa analipata🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…