an alpha male
JF-Expert Member
- Mar 28, 2022
- 1,026
- 2,211
Mkuu kama umemwelewa weka Chuma ndani awe mke wa pili,hizi dini achana nazoKuna mdada mzuri mzur nilkuwa namuona kila mara ila nikawa nampotezea ingawaje nilipenda alivyo mpole pole sana,niliogopa pia kuongeza majukumu maana wanawake wa sasa wana gharama sana,siku moja tukakutana mahala fulani pazuri nikampanga akapangika
Nilivyoachana nae nikaanza kuwaza kwanini nimemtongoza maana nimejiletea shida tena za kuombwa ombwa vihela,kuna siku akaniuliza kwenye simu kama nina mke,nilkubali ili anikatae lakin ajabu hakusema hawez kuwa na mimi,hvyo amekuwa mchepuko na yuko na adabu sana,nikiwa kwa mke wangu hanitafuti kabisa na huwa ananisihi sana nimheshimu mke wangu
Ni mwanamke mpambanaji sana,nawaza awe mke wa pili,mimi ni mpagani
Mmmmmh. Namba 2. Inaweza kuwa nini? Hicho Kitu.Usishangae sana ila muelewe
Kuna mawili hapo
1. Kuna kitu anataka kuchukua kwako
2. Kuna kitu amekuletea akuache uhangaike macho
Ulale unono
Inawezekana hivyo hivyoHii inawezekanaje Dada zangu?
Majuzi Dada mmoja kaniomba namba. Baada ya kumpa akaanza texts. Mwishowe akauliza kama nina gf. Pamoja na kwamba sina nikasema ndio maana sikutaka mambo mengi.
Naye akasema ananitaka. Nikamwabia haiwezekani maana nina mahusiano. Cha kushangaza eti aniambia eti niwe mchepuko wake. Nikamwambia si nitakuwa namcheat mwenzangu. Eti usijali sina madhara. Anyway nilishangaa kusikia mtu anachagua kuwa mchepuko.
Nimewahi mkimbia mwanamke geto Kwa wiki zima ππππPenye miti hapana wajenzi.. mtu anakupenda unamchomoleaje, naanzaje kukataa kwa mfano, mie tena maharage ya mbeya.. akisema NAKUPE mie zamaaani nishamalizia NAKUPENDA PIA π€£
Unampa changudoa namba unadhani wana aibu?Hii inawezekanaje Dada zangu?
Majuzi Dada mmoja kaniomba namba. Baada ya kumpa akaanza texts. Mwishowe akauliza kama nina gf. Pamoja na kwamba sina nikasema ndio maana sikutaka mambo mengi.
Naye akasema ananitaka. Nikamwabia haiwezekani maana nina mahusiano. Cha kushangaza eti aniambia eti niwe mchepuko wake. Nikamwambia si nitakuwa namcheat mwenzangu. Eti usijali sina madhara. Anyway nilishangaa kusikia mtu anachagua kuwa mchepuko.
Ilikuwaje , simba anamkimbia swala au nungunungu huyo π€£Nimewahi mkimbia mwanamke geto Kwa wiki zima ππππ
Alikuwa hanipi mzuka harafu akajifanya hataki kwenda kwao nikasema naenda job nitarudi baada ya wiki akadhan utani alikula Dola had akasepa mwenyeweIlikuwaje , simba anamkimbia swala au nungunungu huyo π€£