mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hebu mtuweke list ya hizo miradi ukisaidiana na mwenzako Tlaatlaah wengine sahv tuko bize tunawachangia kodiMheshimiwa Kafulila anajitahidi sana na kufanya vyema sana katika kufanya juhudi za kutaka miradi mingi ifanywe kwa ubia kati ya secta ya umma na binafsi ,ili kuipunguzia gharama serikali ya kugharamia kila kitu na kwa fedha nyingi za walipa kodi. Kikubwa aendelee kupewa ushirikiano na kuungwa mkono ili hatimaye kuleta matokeo chanya.
Ova