INDIA: Kafulila afanya kikao na Balozi Annisa Kapufi Mbega

INDIA: Kafulila afanya kikao na Balozi Annisa Kapufi Mbega

Wivu kwa hayo mapicha ya kitalii?

Huo ni utapeli ni sawa na raisi aseme anaenda India kukukutana na wawekezaji halafu anaishia ubalozini kupiga picha ba balozi na sanamu la Nyerere

Ubalozi wa nchi ni sawa tu na uko ardhi ya Tanzania

Kafulila kwenda India alitakiwa kukutana na wawekezaji sio balozi au sanamu la Nyerere

We want value for money kwa safari za viongozi sio picha hizo zs kuweka kwenye album za kitalii

Wizi mtupu wa perdiem za serikali
Hakuna cha maaana alichienda kufanya India kama kaishia tu kuuza sura ya kupiga picha na balozi wa Tanzania India na kupiga picha na Sanamu la Mwalimu Nyerere

Watanzania hatuhitaji picha za album za kitalii kuwa katalii sanamu la Mwalimu Nyerere na katalii ubalozini kupiga picha na balozi

Hivi Kafulila anatuanaje Watanzania kuwa ni wajinga fulani au? Hatuhitaji picha za utalii tunahitaji wawekezaji toka India sio hayo mapicha ya kitalii

Shame on him
Wewe hujui chochote, Kafulila haendi huko mpaka ameruhusiwa na Waziri wake, Sasa Waziri nae hajui?
 
Wewe hujui chochote, Kafulila haendi huko mpaka ameruhusiwa na Waziri wake, Sasa Waziri nae hajui?
Watanzania tunataka matokeo ya ziara sio picha za album alizopiga na balozi wa Tanzania India au alizopiga na sanamu la Mwalimu Nyerere

Waziri anakiwa awajibike atueleze value for money ya ziara ya Kafulila India ni ipi?
Waziri atujibu sio Kafulila

Waziri atuambie Watanzania

Hii kitu ni very serious waziri aje na majibu

Kama Waziri hataki kujibu Raisi amshinikize ajibu akikataa waziri na Kafulila wote wapigwe chini

Tunataka kujua value for our money kwa ziara ya Kafulila India
 
Punguza wivu bwana mkubwa
Watanzania tunataka matokeo ya ziara sio picha za album alizopiga na balozi wa Tanzania India au alizopiga na sanamu la Mwalimu Nyerere

Waziri anakiwa awajibike atueleze value for money ya ziara ya Kafulila India ni ipi?
Waziri atujibu sio Kafulila

Waziri atuambie Watanzania

Hii kitu ni very serious waziri aje na majibu

Kama Waziri hataki kujibu Raisi amshinikize ajibu akikataa waziri na Kafulila wote wapigwe chini

Tunataka kujua value for our money kwa ziara ya Kafulila India
 

Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre Tanzania Mhe David Zacharia Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa tweeter (X)

"Nilipomtembelea Mhe. Annisa Kapufi Mbega , Balozi wetu New Delh India. Tumezungumza kwa kina kuhusu namna ya kufanya zaidi kuvuta uwekezaji kwa UBIA( PPP) hasa kwenye Usafiri wa Reli,Barabara , Umeme na miradi mingine ktk list ya miradi(PPP PIPELINE) yenye jumla ya miradi74"

#SAMIAMITANOTENA
TUMBILI 🤣🤣😀
 

Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre Tanzania Mhe David Zacharia Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa tweeter (X)

"Nilipomtembelea Mhe. Annisa Kapufi Mbega , Balozi wetu New Delh India. Tumezungumza kwa kina kuhusu namna ya kufanya zaidi kuvuta uwekezaji kwa UBIA( PPP) hasa kwenye Usafiri wa Reli,Barabara , Umeme na miradi mingine ktk list ya miradi(PPP PIPELINE) yenye jumla ya miradi74"

#SAMIAMITANOTENA
Hiyo ilihitaji aende India? Katika dunia ya sasa ya teknolojia za mawasiliano ya video conferencing? PPP ni udalali tu, pia ilitakiwa kuwa idara tu pale Tanzania Investment Centre, ni vile tu tulimtoa upinzani, na sasa inabidi tumlee kwa kumtengenezea viofisi feki mpaka aishe kabisa ki siasa.

He is more of a liability
 

Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre Tanzania Mhe David Zacharia Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa tweeter (X)

"Nilipomtembelea Mhe. Annisa Kapufi Mbega , Balozi wetu New Delh India. Tumezungumza kwa kina kuhusu namna ya kufanya zaidi kuvuta uwekezaji kwa UBIA( PPP) hasa kwenye Usafiri wa Reli,Barabara , Umeme na miradi mingine ktk list ya miradi(PPP PIPELINE) yenye jumla ya miradi74"

#SAMIAMITANOTENA
Hongera PPP
 
Samia mitan

Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre Tanzania Mhe David Zacharia Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa tweeter (X)

"Nilipomtembelea Mhe. Annisa Kapufi Mbega , Balozi wetu New Delh India. Tumezungumza kwa kina kuhusu namna ya kufanya zaidi kuvuta uwekezaji kwa UBIA( PPP) hasa kwenye Usafiri wa Reli,Barabara , Umeme na miradi mingine ktk list ya miradi(PPP PIPELINE) yenye jumla ya miradi74"

#SAMIAMITANOTENA
Samia mitano tena hongera Kafulila
 

Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre Tanzania Mhe David Zacharia Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa tweeter (X)

"Nilipomtembelea Mhe. Annisa Kapufi Mbega , Balozi wetu New Delh India. Tumezungumza kwa kina kuhusu namna ya kufanya zaidi kuvuta uwekezaji kwa UBIA( PPP) hasa kwenye Usafiri wa Reli,Barabara , Umeme na miradi mingine ktk list ya miradi(PPP PIPELINE) yenye jumla ya miradi74"

#SAMIAMITANOTENA
Kazi iendelee mbele
 
Mheshimiwa Kafulila anajitahidi sana na kufanya vyema sana katika kufanya juhudi za kutaka miradi mingi ifanywe kwa ubia kati ya secta ya umma na binafsi ,ili kuipunguzia gharama serikali ya kugharamia kila kitu na kwa fedha nyingi za walipa kodi. Kikubwa aendelee kupewa ushirikiano na kuungwa mkono ili hatimaye kuleta matokeo chanya.
Mkuu uko vizuri sana nakukubali
 

Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre Tanzania Mhe David Zacharia Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa tweeter (X)

"Nilipomtembelea Mhe. Annisa Kapufi Mbega , Balozi wetu New Delh India. Tumezungumza kwa kina kuhusu namna ya kufanya zaidi kuvuta uwekezaji kwa UBIA( PPP) hasa kwenye Usafiri wa Reli,Barabara , Umeme na miradi mingine ktk list ya miradi(PPP PIPELINE) yenye jumla ya miradi74"

#SAMIAMITANOTENA
Hivi KFulila ameenda chooni?
 

Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre Tanzania Mhe David Zacharia Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa tweeter (X)

"Nilipomtembelea Mhe. Annisa Kapufi Mbega , Balozi wetu New Delh India. Tumezungumza kwa kina kuhusu namna ya kufanya zaidi kuvuta uwekezaji kwa UBIA( PPP) hasa kwenye Usafiri wa Reli,Barabara , Umeme na miradi mingine ktk list ya miradi(PPP PIPELINE) yenye jumla ya miradi74"

#SAMIAMITANOTENA
kumbe shobo zote zilikuwa ni malipo haya😂😂aisee tanzania bana
 

Mkurugenzi mkuu wa PPP-Cetre Tanzania Mhe David Zacharia Kafulila ameandika haya katika ukurasa wake wa tweeter (X)

"Nilipomtembelea Mhe. Annisa Kapufi Mbega , Balozi wetu New Delh India. Tumezungumza kwa kina kuhusu namna ya kufanya zaidi kuvuta uwekezaji kwa UBIA( PPP) hasa kwenye Usafiri wa Reli,Barabara , Umeme na miradi mingine ktk list ya miradi(PPP PIPELINE) yenye jumla ya miradi74"

#SAMIAMITANOTENA
Kafulila anajua sana huyu muha
 
Back
Top Bottom