India na China wakinukisha, wanajeshi watatu wa India wauawa, dunia inatamani sana damu

Mhindi kabla ya kumimina risasi anaanza kuimba kwanza akate uno halafu ndo aendelee na vita
[emoji23][emoji23]h[emoji16][emoji742][emoji742][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji742][emoji16][emoji16][emoji742][emoji16][emoji16][emoji742][emoji16]
[emoji742][emoji742][emoji742][emoji742][emoji16][emoji742][emoji742][emoji742]
[emoji742][emoji16][emoji16][emoji742][emoji16][emoji16][emoji742][emoji16]
[emoji742][emoji16][emoji16][emoji742][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
China ni super power ,india ni regional Power.
China ameizi india Kila kitu yes kila kitu
 
Hivi China anamiliki s-400 ?
Anaweza akawa nazo au katengeneza version yake maana ananunuaga silaha nyingi toka kwa urusi halafu anazi modify anakua hatumii majina ya silaha ya kirusi.......hii nimeona sana kwenye ndege zile mig na Sukhoi
 
Wachina wapuuzi sana...kumbe walituma wataalamu wa martial arts (Kungfu n.k.) muda mchache kabla ya kukinukisha na India
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…