India na China wakinukisha, wanajeshi watatu wa India wauawa, dunia inatamani sana damu

India na China wakinukisha, wanajeshi watatu wa India wauawa, dunia inatamani sana damu

Kawaida ya dunia baada ya kama miongo kadhaa lazima iingie kwenye reset mode, pale ambapo kunakua na maafa makubwa na maangamizi kila mahali, hii huwa haikwepeki, corona imeanza kwa kubip ila ndiko tunakokwenda, India na China waanza chokochoko na ikumbukwe wote wawili ni wababe wa nyuklia.
Wahindi na Wachina kwenye mitandao ya kijamii wanatupiana cheche sio mchezo...kila mmoja anaomba vita.

=============================

Three Indian soldiers are killed in fighting with Chinese forces along disputed Himalayan border
  • The 'violent faceoff' took place in Galwan valley in Ladakh region on Monday
  • India said there were 'casualties on both sides' but China didn't comment
  • Statement said loss of life included an officer and two soldiers
  • The incident is first such confrontation between the two Asian giants since 1975

Three Indian soldiers, including a senior army officer, have been killed in a confrontation with Chinese forces along a disputed border area in the Himalayas.

The Indian army said in a statement on Tuesday that a 'violent faceoff' took place in Galwan valley in the Ladakh region on Monday night 'with casualties on both sides.'

Troops from the two countries have been facing off along the disputed frontier for more than a month.


After the latest skirmish, there was no comment from China.

'The loss of lives on the Indian side includes an officer and two soldiers,' India's statement said.

Three Indian soldiers killed by Chinese forces along disputed border
Mkuu mie hua napenda sana hao jamii ya wanyonyaji watandikane wapigwe na corona sisi tuendelee na mambo yetu wametunyonya sana wacha watandikane!ila india nae mtatamatata kama magari yake TATA india & pakstan hawakai muda wanadundana tu kugombea mipaka sasa anamtaka na mchina
 
Hawa walipigana Vita vikubwa Sana mwaka 1962 na India alipata kipigo Cha mbwa mwizi!!
Hata huu mkwaruzano wa juzi, mnyukano ulikuwa ni wa mikono mikavu mikavu!! Hakuna hata risasi moja iliyopigwa! Pande zote zilionesha nidhamu ya Hali ya juu hivyo kuepusha kulipuka kwa Vita! Maana risasi hujibiwa kwa risasi. Mmoja tu angefanya kosa la kutupia risasi au bomu ssa hii tungekuwa tunaongea mengine.
Sasa wachina wako vizuri Sana kwa mikono na mateke!! Wahindi walichezea kichapo na askari watatu wakafa pale pale! Baadaye majeruhi 17 wakafa pia na kufanya idadi ya vifo kuwa 20!
Upande wa China haukupata vifo vya hapo hapo ila majeruhi kadhaa ambao idadi yao haikuwekwa wazi. Hsijajulikana bado Kama baadaye vifo vilitokea, si unajua wachina ni waziri Sana!
 
Wahindi nao ni kama ndugu zetu wapare, kila mara wao tu ndio wana migogo ya mipaka na majira zao, mara agombane na Pakistani, leo china kesho sijui Nepal, kesho kutwa Bangladeshi.
Wale jamaa hawajawahi kuelewana na mtu
 
India anamilika Nuclear, hii ni tosha kwamba ni tishio mkuu achana na kotu nuclear, pia India ana moja ya silaha bora kabisa Duniani, google BLAH AMOS kama sijakosea speliing, hii ni project ya Urusi na India
India yuko vizuri lkn sio wa Level za China.

India level yake ni Pakistani.

Ila kama vipi wazichape tu,watu wa kizazi hiki wapate hata cha kuhadithia khs mziki wa ma nukes endapo wata survive.
 
We mtu anakula Tandu ,utampigaje sasa? Singa singa atulie tu.
 
Hawa walipigana Vita vikubwa Sana mwaka 1962 na India alipata kipigo Cha mbwa mwizi!!
Hata huu mkwaruzano wa juzi, mnyukano ulikuwa ni wa mikono mikavu mikavu!! Hakuna hata risasi moja iliyopigwa! Pande zote zilionesha nidhamu ya Hali ya juu hivyo kuepusha kulipuka kwa Vita! Maana risasi hujibiwa kwa risasi. Mmoja tu angefanya kosa la kutupia risasi au bomu ssa hii tungekuwa tunaongea mengine.
Sasa wachina wako vizuri Sana kwa mikono na mateke!! Wahindi walichezea kichapo na askari watatu wakafa pale pale! Baadaye majeruhi 17 wakafa pia na kufanya idadi ya vifo kuwa 20!
Upande wa China haukupata vifo vya hapo hapo ila majeruhi kadhaa ambao idadi yao haikuwekwa wazi. Hsijajulikana bado Kama baadaye vifo vilitokea, si unajua wachina ni waziri Sana!
Ngumi wanajeshi 3 wamekufa hapo hapo?! Baadae majeruhi 17?😥😥 Hawa wahindi sasa ahaa!
 
Mkuu mie hua napenda sana hao jamii ya wanyonyaji watandikane wapigwe na corona sisi tuendelee na mambo yetu wametunyonya sana wacha watandikane!ila india nae mtatamatata kama magari yake TATA india & pakstan hawakai muda wanadundana tu kugombea mipaka sasa anamtaka na mchina

Vita vya wababe kama wale lazima vitatuathiri tena pakubwa, usitamani wala hata dakika moja, wakifikia kiwango cha kutupiana madubwasha yote kama nyuklia, ukae mkao wa kuathirika katika kila namna maana lazima mataifa mengne yataingilia na kila mmoja kuchukua upande, Mrusi anaweza akawa upande wa Mchina naye Marekani akingie Mhindi, hapo sasa dunia itaanza kuvurugika na yatatukuta huku, kama jinsi tulimcheka Mchina kwa corona ila leo huku ni mwendo wa mabarakoa, yametukuta yalioanzia huko kwao.
 
Wao wameconfirm vifo vyao ila nao wanadai wameua wanajeshi wa china 43 japo china hajaconfirm maana hata hivyo china uwa haconfirm habari kama hizi
hata hao india pia sio wakuwaamini kwa sababu,kama hiyo habari imetoka kwao ni lazima watakuwa wameipika ili wapate kuwa brainwash wananchi wao..hivi unadhani wanaweza kuwaambia wananchi wao kuwa wamepigwa au wameua idadi ndogo ya wachina! ?
 
Hata marekan na uwezo wake ilikuwa inapigwa na taliban, maana wanajichanganya na raia. Marekani na uwezo wake ilisumbuliwa na Vietnam mpaka wakaomba poo, walipoona wamezidiwa wakaanzisha movement watu waandamane nyumbani kupinga vita ili wapate sababu ya kuondoa jeshi lao.
Siyo rahisi kupigana na jeshi lenye watu ambao they have nothing to lose
😃😃😃kwamba waka create propaganda kwa wananchi wananchi wao wa andamane ili wapate upenyo wa kukimbia?
 
Wachangiaji wengi wa huu uzi wamechagua upande wa China (hata Mimi hapo awali) nadhani ni sababu ya mahusiano ya kibiashara baina ya China na Tz.

pia ushindani wa China na Marekani kibiashara na kijeshi huko bahari ya kusini mwa China umetufanya tuione China kama taifa babe kuliko India kwenye hilo eneo.

Ila kumbukeni hata India ni mwekezaji mkubwa hapa nchini na anategemewa sana kwa matibabu na raia wetu wengi hivyo msiwatabirie mabaya.

Hayo mataifa mawili ni wawekezaji wakubwa huku Africa, pia wanafanya biashara ya mamilioni ya dola na mataifa mengi huku Africa, hivyo tuwaombee amani.
tuwaombee amani ndio nikweli maana choko choko zao zinaweza sababisha vita ya 3 ya dunia

ila wengi tume take side ya china badala india kwa sababu tunajua kuwa ana nguvu kubwa ya kiuchumi kisiasa kiushawishi ki-technology na kijeshi kuliko india ijapokuwa india nae hayupo mbali katika hizo sifa nilizo zioanisha hapo. .kubwa zaidi Chinese anaonyesha kuwa kwa sasa yeye ndiye adui namba moja wa USA na amefanikiwa kwa kiasi kikubwa kumchezeae sharubu yaani USA kwa china amekuwa kama simba wa kuchora kitu ambacho kinaifanya china izidi kujipatia mashabiki wengi duniani kwa sababu USA ina maadui wengi wanaoichukia ambao wapo macho kila kukicha wakitaka kushuhudia empire ya USA inaanguka
 
Hizi ndizo silaha walizotumia Wachina
Screenshot_20200618-203152.jpg
 
Na kwa Pale India ni kipenzi cha Russia(na ananunua Silaha zao kwa Sana) wkt Pakistani ni kipenzi cha China kwa sana tu.

Kwa hio US kuingilia pale kumsaidia India wkt huo huo india ni kipenzi cha Russia naona kama kuna utata kidogo lkn yote yanawezekana mkuu(Geo-Politics).
Sasa hivi India ina shift kwenda upande wa Marekani zaidi kwenye Mikataba ya Silaha na Nuclear technology.
 
Back
Top Bottom