Kasome tena vizuri.Siyo marekani ni Russia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kasome tena vizuri.Siyo marekani ni Russia
Naomba unipe link ya hio habari kwamba 42 Chinese wameuwawa na India maana tokea jana nimeitafuta kote skuona, ata screen short tu mm nitaenda deep kuisoma mwenyewe43 Chinese also got killed.
Em nione chanzo cha habari hio, ata screenshort tu mm nitaingia deep kwenda kusoma, maana tokea jana naitafuta habari hio dkuionaNa wahindi wanadai wanajeshi 43 wa China wameuawa
Ingia kwenye chombo chochote cha habari cha India wameandika hii japo unlike China, India wameconfirm vifo ila China hawajaconfirm namba ya vifo wala majeruhi yoyote japo hili ni kawaida kwao. So siyo habari ambazo unaweza thibitisha ila ndizo claim za India hizi kuwa wameua wanajeshi 43 wa China.Em nione chanzo cha habari hio, ata screenshort tu mm nitaingia deep kwenda kusoma, maana tokea jana naitafuta habari hio dkuiona
Ingia kwenye chombo chochote cha habari cha India wameandika hii japo unlike China, India wameconfirm vifo ila China hawajaconfirm namba ya vifo wala majeruhi yoyote japo hili ni kawaida kwao. So siyo habari ambazo unaweza thibitisha ila ndizo claim za India hizi kuwa wameua wanajeshi 43 wa China.
20 Indian Soldiers Killed; 43 Chinese Casualties: ANI
India-China dispute: 43 Chinese soldiers killed? Media outlets and journalists mislead - Alt News
At Least 20 Indian, 43 Chinese Troops Killed in Violent Ladakh Clash: Reports
India China news live: At least 20 Indian Army personnel killed in violent face-off in Ladakh's Galwan Valley
Sasa mbona wanauliwa sana wao tu. Jana pia wamekufa wengine 20. Wawe wapole wasijipime ubavu na jeshi la china.India ni kati ya nchi yenye jeshi linaloheshimika na intelligence ya hali ya juu, usiwa underestimate.
Wao wameconfirm vifo vyao ila nao wanadai wameua wanajeshi wa china 43 japo china hajaconfirm maana hata hivyo china uwa haconfirm habari kama hiziSasa mbona wanauliwa sana wao tu. Jana pia wamekufa wengine 20. Wawe wapole wasijipime ubavu na jeshi la china.
China usitegemee confirm habari za casualties au deaths maana siyo hulka yakeMedia outlets and journalists mislead
India kama muvi zake na masteling wao wako vile basi wanafaa kupigwa tu hamna kitu.
Nyimbo zao nzuri sana na wanacheza vizuri.Hahahaha na zile nyimbo zao za kimapenzi
Wahindi uwa hawana uelewano na yeyote yule,wacha wachapwe akili iwakae sawaChina Ni wababe wa India, Kuna kipindi Tena walichapana ngumi palepale borderline, wanajeshi wa India walipigwa ngumi mpaka wakataka kuanzisha Vita ya mitutu, hawa jamaa huwa hawaelewani kabisa.
Nyimbo zao nzuri sana na wanacheza vizuri.
Hao unaowaita madikteita bila kupewa sapoti nahao mnaowaona wema wangekaa hapo walipo ?!Hii sio kweli, vita vya Afrika vinasababishwa zaidi na tawala za kidikteta zilizokithiri hadi leo ktk mataifa kadhàa ya kiafrika. That's all.
Hii tabia ya kila siku kuwasingizia watu wa nje kwa madhaifu yetu ndio chanzo cha bara hili kuendelea kuwa maskini pamoja na rasilimali lukuki ilizonazo.
Ndugu yao akina Pimbi .... Kenya yenyewe ina rank kubwa kwa ukanda huu ila anachezea kichapo na wavaa makobaziUnahisi India kuwa ranked kuwa na military capabilities za juu ilikuwa bahati mbaya? Au walioirank ni mandezi?
List of wars involving the People's Republic of China - WikipediaHe
Hebu nitajie vita China amewahi pigana
Hata marekan na uwezo wake ilikuwa inapigwa na taliban, maana wanajichanganya na raia. Marekani na uwezo wake ilisumbuliwa na Vietnam mpaka wakaomba poo, walipoona wamezidiwa wakaanzisha movement watu waandamane nyumbani kupinga vita ili wapate sababu ya kuondoa jeshi lao.Ndugu yao akina Pimbi .... Kenya yenyewe ina rank kubwa kwa ukanda huu ila anachezea kichapo na wavaa makobazi
HahahaWahindi uwa hawana uelewano na yeyote yule,wacha wachapwe akili iwakae sawa
salaaaaaaaaaleh wadosii watuliee tuu kwenye kula pilipiliii