wax
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 5,945
- 5,733
Wanakula urojoaskari wa india ni mdebwedo sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakula urojoaskari wa india ni mdebwedo sana.
Watakua wameshiba biryani hao[emoji4][emoji4]India naee mara kakianzisha na Mpakistan unasikia wanajesh wake kadhaa wamededishwaaa
mara kakianzisha na kina Mchina ndo kama hivyoo unasikia wadosi watatu chaliiii.....
bora waufyateee tuuu
Story za kwenye vijiwe. Unajua kuwa leo hii mchimbaji mkubwa wa mafuta ya Angola ni Marekani mbona hawakumnyima kisa aliwapiganisha..!!Kila kitu na kipi?. U.S.A akimtaka mtu ampige kwa njia yoyote anampatia. Hasa palipo na maslahi yake au maslahi yake yakiguswa. Mfano ni kama Angola kabla ya kukaa sawa kulikuwa na vikundi viwili vinapigana,kimoja kikiweka masikani yake DRC,kingine kikiwa msituni Angola,vikundi vyote vikipigigania kuiongoza Angola. Unajua kitu gani kilikuwepo? Vikundi vyote vilikuwa vinafadhiriwa na mtu mmoja,U.S.A. kupiganisha huko ili anyakue mafuta na madini kirahisi. Rejea vita vinavyoendelea kila uchwao hapo DRC. Hapo yapo maslahi ya U.S.A
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Hebu nitajie vita China amewahi piganaKapigana na nchi gani ya maana zaidi ya Pakistan na masikini wengine wanaomzunguka? Yani hao ndo kama ndugu zetu Kenya kwenye statistics za jeshi utawaogopa ila ukija uwanjani wanachakazwa hadi na wale wavaa makobazi wa somalia
Ha ha ha,usidhani ni bunduki zimetumika,,ni makonde yametembea nasikia,5 dead china,,3 dead indian.askari wa india ni mdebwedo sana.
Duuh kmbe kubaya hko asee.....Wamefika wanajeshi 20 wa India waliokufa
India wapo vizuri sana kijeshi pia ni moja ya nchi yenye jeshi kubwa (wanajeshi wengi) ila China ina nguvu sana kwenye hilo eneo.lakini kumbuka Polo ya kutuliza vuguvugu la hyderabad lilikuwa supported na pakistan
Operation Cactus pia
Story za kwenye vijiwe. Unajua kuwa leo hii mchimbaji mkubwa wa mafuta ya Angola ni Marekani mbona hawakumnyima kisa aliwapiganisha..!!
Vita vya kienyeji nchini Congo DR havina mahusiano yoyote na Marekani, wapiganaji wenyewe ni wachovu tu waliogeuza hivyo vita kama njia ya kujikimu kimaisha.
Ila bora wasipigane hawa,mtiti wake ni noma,,wote wako wengi kama utitiri yaaniIndia watulie tu, kulishinda jeshi la China nyakati hizi China ikiwa taifa linalokua kwa kasi kiuchumi na kiteknolojia si kazi rahisi kwao.
Mdembwedo enh?India ni mdembwedo tu,hata Pakistan hua inampa kichapo heavy.
Mdembwedo enh?
43 Chinese also got killed.Majeshi 20 ya India mda huu yauliwa
Kuna jamaa yangu (Nadiuth Mort) yuko huko huko kwenye safu za mlima Himalaya, leo katupia hizi pics View attachment 1480809
Hawakutangaza Chinese but subir nichek huku saivi43 Chinese also got killed.