Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
Usimdharau India. Yupo vizuri.Naaaam
Wewe unadhani kwanini China atamzidi India?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimdharau India. Yupo vizuri.Naaaam
Maji yameshazidi unga.LolHawakutanga Chinese but subir nichek huku saivi
Usimdharau India. Yupo vizuri.
Wewe unadhani kwanini China atamzidi India?
Na wahindi wanadai wanajeshi 43 wa China wameuawaMajeshi 20 ya India mda huu yauliwa
Kweli mkuu, pande zote zitapata madhara makubwa.Ila bora wasipigane hawa,mtiti wake ni noma,,wote wako wengi kama utitiri yaani
Okay, wakiingia kupigana ile yenyewe naamini China atashinda. Lakini pia simdharau India. Hawa wote wana Nukes. Kama watazitumia yawezekana asipatikane mshindi.India yuko vizuri lkn sio wa Level za China.
India level yake ni Pakistani.
Ila kama vipi wazichape tu,watu wa kizazi hiki wapate hata cha kuhadithia khs mziki wa ma nukes endapo wata survive.
Okay, wakiingia kupigana ile yenyewe naamini China atashinda. Lakini pia simdharau India. Hawa wote wana Nukes.
Pia India anaweza kushindwa tuu ikiwa mkono wa US hautahusika. Na ni percent chache sana US asihusike.
Kwa mtazamo wangu.
Wahindi mpaka waimbe ndio mzuka upande
Na kwa Pale India ni kipenzi cha Russia(na ananunua Silaha zao kwa Sana) wkt Pakistani ni kipenzi cha China kwa sana tu.
Kwa hio US kuingilia pale kumsaidia India wkt huo huo india ni kipenzi cha Russia naona kama kuna utata kidogo lkn yote yanawezekana mkuu(Geo-Politics).
Wakivurugana hapo atakayefaidika ni kati ya US au Russia.
Ila hizi issues, wengine wanauana wengine wana take advantage..
Hujui lolote. Makaburu S.A wamewanyanyasa sana waafrica huko nyuma,mbona sasa wako pamoja?. Iwe ndio marekani kuwapiganisha Angola hapo zamani wamnyime mkataba wa kuchimba mafuta now?. 2. Unafahamu waasi wa DRC wewe?. Fikiria siraha walizonazo huko msituni sio za kibwege ndio maana inashindikana pia kuwamaliza. Wewe unafikiri wanafadhiriwa na nani hizo siraha kama sio mataifa makubwa yenye maslahi ndani ya DRC?. 3. Hivi unafikiri waafrica hawana akili kabisa kiasi kwamba wanashindwa kuelewana mpaka kumaliza kabisa mapigano hayo yaliyodumu miongo kadhaa?. Hasha,ila kuna wenye maslahi hawataki vita hivyo viishe. Nina mengi ya kukueleza ila ngoja nitulie tuishie kujua juu kwa juuStory za kwenye vijiwe. Unajua kuwa leo hii mchimbaji mkubwa wa mafuta ya Angola ni Marekani mbona hawakumnyima kisa aliwapiganisha..!!
Vita vya kienyeji nchini Congo DR havina mahusiano yoyote na Marekani, wapiganaji wenyewe ni wachovu tu waliogeuza hivyo vita kama njia ya kujikimu kimaisha.
Akiingiza kichwa ndio kuwemoSasa sio kila sehemu US anaweza weka mkono.Vita nyingine yeye kushiriki ni mpaka naye aingize kichwa!
Nimecheka sana hapa nikivuta picha zile movies za kusini mwa India (tollywood)India kama muvi zake na masteling wao wako vile basi wanafaa kupigwa tu hamna kitu.
Mmh acha hizo!Mi natamani wapigane Na wajipige kweli kweli kwa maana nawachukià wote Na asipatikane mshindi
Weshapiganaga kipindi cha nyuma India walipigwa hadi aibuUsimdharau India. Yupo vizuri.
Wewe unadhani kwanini China atamzidi India?
Lakini kipindi hicho China peke yake ndie alikuwa na Nukes. India hakuwa nayo.Weshapiganaga kipindi cha nyuma India walipigwa hadi aibu
Kwa kifupi Mchina ameshawagawia dozi majirani zake India, Vietnam wote hawa hawakufurukuta mbele ya mchina
Yani nyie jamaa kila kitu ni marekani tu.
Hii sio kweli, vita vya Afrika vinasababishwa zaidi na tawala za kidikteta zilizokithiri hadi leo ktk mataifa kadhàa ya kiafrika. That's all.Hujui lolote. Makaburu S.A wamewanyanyasa sana waafrica huko nyuma,mbona sasa wako pamoja?. Iwe ndio marekani kuwapiganisha Angola hapo zamani wamnyime mkataba wa kuchimba mafuta now?. 2. Unafahamu waasi wa DRC wewe?. Fikiria siraha walizonazo huko msituni sio za kibwege ndio maana inashindikana pia kuwamaliza. Wewe unafikiri wanafadhiriwa na nani hizo siraha kama sio mataifa makubwa yenye maslahi ndani ya DRC?. 3. Hivi unafikiri waafrica hawana akili kabisa kiasi kwamba wanashindwa kuelewana mpaka kumaliza kabisa mapigano hayo yaliyodumu miongo kadhaa?. Hasha,ila kuna wenye maslahi hawataki vita hivyo viishe. Nina mengi ya kukueleza ila ngoja nitulie tuishie kujua juu kwa juu
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app