India yaapa kulipiza kisasi kwa shambulizi lililofanywa kwa meli yenye mizigo yake - Iran ijiande

India yaapa kulipiza kisasi kwa shambulizi lililofanywa kwa meli yenye mizigo yake - Iran ijiande

Ndio maana nimeona geshi la Amitha bachan lishaanza masongi ya huzuni huku wanakimbizana Ayatolah umeyatimba ,wahindi waone vile vile huwa wana kawaida moja kupiga kama ngoma achana na mamovie yao
 
Hahaha😂😂😂

Mr uharo wadosi wamewashinda Wakashmiri watawaweza Yemen na Iran wahidi na sinema zao stering anakufa kwenye shamba la maua.
Wadosi wameipiga Pakistan mara mbili na pia wakaifanya Bangladesh ijitenge na Pakistan.
India sio wazembe
 
Nadhani zitapatanishwa! India ni mwanachama wa BRICS na Iran inatarajiwa rasmi kuwa mwanachama wa muungano mwezi ujao, januari 2024!
Kwa hiyo kwa usalama wa Muungano huo Russia na China hazitaona mgogoro huo ukikua!
 
Familia Yako Itakufa Kwa Njaa Jishughulishe,ww Uko Busy Na Waislamu Mtandaoni.Huna Nyuzi Za Maana Unakuwa Unalala Unapumzika Ni Afya Kwa Akili,we Kila Siku Israel,iran Na Palestina
 
Wadosi wameipiga Pakistan mara mbili na pia wakaifanya Bangladesh ijitenge na Pakistan.
India sio wazembe
Wamewapiga lini na lini kwenye mzozo upi na upi
Maana juzi tu nimesoma makala ya mapigano baina ya india na hao pakistan walipo pigana
Walisema kwamba wamepigana mara sita kwenye mara sita india kashinda nishasahau nimara moja ama mara mbili tuuu
Sasa sijajua hapa nani anakua mbabe mbele ya mwengine
 
Ugaidi wa kidini unaifanya Iran izidi kutengeneza maadui hata kule ambapo hakukua na ugomvi.
Ikumbukwe India ni ya nne kwa ubabe wa kijeshi duniani.

New Delhi’s defense officials vowed to bring those responsible for the recent attacks on two predominantly Indian-crewed merchant vessels to justice amid the ongoing Houthi and Iranian missile and drone strikes in the Red Sea and beyond.

India’s assertive tone on the Red and Arabian Sea attacks comes after the attacks on MV Sai Baba and MV Chem Pluto, the latter of which was struck by a one-way attack drone only 200 nautical miles off the Indian coast.
Wahenga hao wala si mimi [emoji116]

"Mwana kulitafuta Mwana kulipata".

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ugaidi wa kidini unaifanya Iran izidi kutengeneza maadui hata kule ambapo hakukua na ugomvi.
Ikumbukwe India ni ya nne kwa ubabe wa kijeshi duniani.

New Delhi’s defense officials vowed to bring those responsible for the recent attacks on two predominantly Indian-crewed merchant vessels to justice amid the ongoing Houthi and Iranian missile and drone strikes in the Red Sea and beyond.

India’s assertive tone on the Red and Arabian Sea attacks comes after the attacks on MV Sai Baba and MV Chem Pluto, the latter of which was struck by a one-way attack drone only 200 nautical miles off the Indian coast.
Sasa India atafanya nini kwa Iran na mavilemba yao [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Huyu iran ni wa kunyukwa tu sambasamba na yemen watulia, wana ubabe wa kishenzi
Unakaza shingo Wayahudi wanakuona nyani tu [emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_20231227_182215.jpg
 
Hao hawataki kusikia vita kabisa, wana vita ya njaa
Hivi umefika India au huwa mnaleta habari za unoko tu
Pakistan wanahangaishana nae kila leo huko Kashmir
Hivi unadhani vita ni kama ile ya wasomali wa Mall Nairobi au wizi wa sukari na mkaa Somalia eti?

Ngoma hii hata baba yenu haiwezi, Mhindi sio mjinga hivyo
 
Wahindi hawana presha maana hata Iran akituma kombora raia anaweza kulidaka chap akalirusha Iran.
Haa Ila hawa wahindi ni mandina sana sijui huwa wanatuchukuliaje, mm huwa nikikuta mtu ana angalia maigizo ya kihindi huwa namdharau sana.
Eti mtu anadandia ndege ikiwa angani, mara mtu anampiga teke semi na kuvunjika vunjika ,mara mtu anapigwa kofi anadunda kama mpira yaani yafurani tupu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Hao hawataki kusikia vita kabisa, wana vita ya njaa
Hivi umefika India au huwa mnaleta habari za unoko tu
Pakistan wanahangaishana nae kila leo huko Kashmir
Hivi unadhani vita ni kama ile ya wasomali wa Mall Nairobi au wizi wa sukari na mkaa Somalia eti?

Ngoma hii hata baba yenu haiwezi, Mhindi sio mjinga hivyo

Israeli juzi ameua General wa jeshi wa Iran huko Syria.
Alikua mfadhili wa magaidi ya Hezbollah na Hamas
 
"E="Bwana Utam, post: 48868346, member: 352616"]
Wewe upo huko nyuma ya itel yako sijui tecno[emoji41]
[/QUOTE]" Simu yako naona bajeti yake unanunua coaster, hongera kwa kumiliki simu ya gharama kubwa. Mi umenipa itel na tecno fresh tu
 
Back
Top Bottom