India yatuma chombo maalum kuchunguza jua.

India yatuma chombo maalum kuchunguza jua.

Sasa Kama mtu chama chake kimeshika nchi toka uhuru Hadi Sasa wameshindwa nunua vyombo vya kisasa bandarini akili zao zinawaza kuwapa watu ndo tutapata faida Yani hao wenyewe et wanaona hawawezi ..wanachoweza Ni kujipangia mishahara mizuri
Na wanachi tumekubali.

Tukifananisha wanasiasa na vilevi, na wananchi na maji ulichokisema hapa ni hichi:

...
Water + Whiskey kills liver
Water + Beer kills kidney
Water + wine bad for health

"THERE MUST BE SOMETHING WRONG WITH WATER"
 
Sasa Kama mtu chama chake kimeshika nchi toka uhuru Hadi Sasa wameshindwa nunua vyombo vya kisasa bandarini akili zao zinawaza kuwapa watu ndo tutapata faida Yani hao wenyewe et wanaona hawawezi ..wanachoweza Ni kujipangia mishahara mizuri
Mkuu, umewaza mbali sana. Ni nani anaendesha bandari za Dubai/UAE??
 
India ni nchi ambayo hivi karibuni uchumi wake umekuwa ukikuwa Kwa Kasi sana hivyo wanastahili pongezi sana Kwa ambayo wamekuwa wakizidi kuyafanya naamini Bado wanayomengi watazidi kuyafanya
Pongezi sana kwao
 
India imepiga hatua kubwa mno, wanastahili pongezi kuingia kwenye 'field' tuliyozoea kuona Wamagharibi, Wachina na Warusi.

Pongezi kwa India na wanasayansi wake....

Bado zamu ya Africa ipo njiani inashaallah..

Yoda dudus HIMARS T14 Armata Aleyn
kp kipanya44 imhotep

Bandari mshauza au bado?
 
Hicho wanachomtafuta mungu watakipata... Jua ni mungu na yeye hachunguzwi
 
Hicho wanachomtafuta mungu watakipata... Jua ni mungu na yeye hachunguzwi
20230512_231025.jpg
 
Wanachojua waafrica ni kujiongezea mishahara Mizur Kila mwaka kununua Magari ya Kifahali makali Kila Mwaka Na Kila Mwaka Kuoa Wanawake Wazuri na Bajeti Zao Za Maofisini Kwao Kuanzia Chai ,chakula Cha Mchana Ni Zaidi ya Mabilioni ya Shillingi Mwisho Kabisa Msisahau Kila Mkubwa Ana watumishi Wake Hewa ya Kula Mishahara ya Bure ndo Wanachojua Hawa Wajaaa Lana
 
Back
Top Bottom